Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,413
- 5,318
Utajiri unatokea tuu pasi na kutalajia,,ukiutafuta kwa pupa utaangukia kwa saangoma
Siyo unafanya, je, umefanikiwa kuupata huo utajiri?Namwabia kwa sababu Nafahamu!
Na ninafanya.
Mzee naona nielekeze jinsi ya Kutengeneza bahati ya bilioni mojaBahati inatengezwa pia
Ahsante sanakuwa tariji panategeme kwanza kabisa lazima upate maarifa ya fedha na namna ya kuzihandle,lazima ujue watu waliofanikiwa wanaishije, lakini pia una hitaji uwe na kunnection ya watu waliofanikiwa au tunasema lazima rafiki zako wawe wamefanikiwa, jifunze uwekezaji, kufanya kazi kwa bidii, tafuta njia za kujiingizia kipata, fanya kazi na watu vizuri,usikatee tamaa, kuwa na mpango wa jinsi gani utaweza kutimiza ndoto yako kama huna mpango pasi hautapat uekeo wowote
duhNyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa kuna uhalifu.
NotedHao teyari wameshajitafuta, na uchumi wao upo vizuri, hata akila bata mwezi mzima, hawezi ku affect mtaji wake in a negative way , still bado atakuwa vizuri,
Sasa, kama wew ndio unautafuta utajiri, usifanye hivyo, utakuwa unapiga hatua 3 mbele, hatua 10 nyuma..
MhmhUtajiri ni complex ishu na unatokea KWA njia nyingi tu za kutegemea au kutotegemea.
Pana jamaa kanunua jiwe kwa milioni 2 kaenda uza bilioni 36.
Pana jamaa kapiga malikale kapata mgawo bilioni 40.
Lala masikini amka tajiri.
Kupata ni foleni ngojea ya kwako
Hapo sasa mtagombana na serikaliSometimes it's tax evasion![]()
Na dili haramuZipo njia tatu za kuwa tajiri
1. Bahati
2. Juhudi binafsi
3. Urithi