Habari wadau!
Tumekuwa tukijadiliana mambo mengi ya siasa, mapenzi, afya, kilimo nk! Leo naomba niongelee suala la moto.
Kumekuwa na majanga mengi ya moto yanayosababishwa na shoti ya umeme, jiko, pasi, friji nk. Na vyanzo vingi vya moto vimekuwa vikianzia jikoni, sebuleni! Mtaongezea kulingana na uzoefu wenu pia.
Sasa je, unafanyaje ili kuwa na sehemu ya kutokea ya dharura ambayo wanajua ni familia yako tu? Assume moto ni mkubwa hauwezi kuzimika kwa fire extinguisher.
Mawazo yenu wadau!
Tumekuwa tukijadiliana mambo mengi ya siasa, mapenzi, afya, kilimo nk! Leo naomba niongelee suala la moto.
Kumekuwa na majanga mengi ya moto yanayosababishwa na shoti ya umeme, jiko, pasi, friji nk. Na vyanzo vingi vya moto vimekuwa vikianzia jikoni, sebuleni! Mtaongezea kulingana na uzoefu wenu pia.
Sasa je, unafanyaje ili kuwa na sehemu ya kutokea ya dharura ambayo wanajua ni familia yako tu? Assume moto ni mkubwa hauwezi kuzimika kwa fire extinguisher.
Mawazo yenu wadau!