C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,721
Jamani habari zenu wakuu...
Ni muda mrefu nimekuwa nikiwaza biashara ambayo inaweza ku dominate soko la dunia na kuwa na kampuni kubwa ambayo inaweza kudominate dunia na kushindanana brands za dunia sasa maswali yangu ni haya...
1) ni biashara ipi yaweza kusambaa ku dominate kirahisi??
2) ni sekta gani hapa inalipa kilimo, teknolojia, banking, au professional firm?
3) process gani nashauriwa nifuata ili after ten years uwe na kampuni ambayo ni multinational
maoni yenu,plans na ushauri wenu unahitajika wakuu katika hili.........
Ni muda mrefu nimekuwa nikiwaza biashara ambayo inaweza ku dominate soko la dunia na kuwa na kampuni kubwa ambayo inaweza kudominate dunia na kushindanana brands za dunia sasa maswali yangu ni haya...
1) ni biashara ipi yaweza kusambaa ku dominate kirahisi??
2) ni sekta gani hapa inalipa kilimo, teknolojia, banking, au professional firm?
3) process gani nashauriwa nifuata ili after ten years uwe na kampuni ambayo ni multinational
maoni yenu,plans na ushauri wenu unahitajika wakuu katika hili.........