Jinsi ya kuwa moderator jamiiforums

Jinsi ya kuwa moderator jamiiforums

Status
Not open for further replies.
bado sijaenda mkuu, ni badae jion au kesho. Amesema wife twende bagamoyo
ebu fanya maombi usiku kucha ukimuomba mungu usikie majibu yake maana kwa mganga ukitoka utakuwa na hasira mara mbili
 
Eeeeh!!!unataka kuwa mod tena makubwaa!!!!Range ushauza lkn!!jamaa ana siku 3 JF ila ana post 56!!duuuh

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wenyeji watakuambia unatafuta umaarufuu na sifaa utafikiri Jf ya kwaoo,we toaa uzii bana labda Max akatae aseme imetoshaa
 
Unao uwezo wa kupiga kazi masaa mengi? Wiki nyingine unaingia usiku, uko tayari?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom