Jinsi ya kuwa moderator jamiiforums

Jinsi ya kuwa moderator jamiiforums

Status
Not open for further replies.

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Marafiki,

Nilikuwa najiuliza hapa, ni jinsi gani naweza kuwa mod wa jf hasa jukwaa la mapenzi. Inatakiw nijue sana mapenzi au? na vigezo vingine hasa ni vipi? Kwa anayefahamu tafadhali, Asanteni
 
wewe dogo mbona unakasi ya ajabu mara umepigwa v wanajeshi, mara mkeo anataka kukupeleka kwa mganga, mara umefukuzwa kazi.. na sasa unataka u'mod mweeeeeeh! ptuuuu! unachoshaaa
 
Piga kampeni ueleze mapya mazuri utakayoyafanya kwenye jukwaa la mmu. Tukiridhika tutapeleka PM kwa Maxence Melo.
 
Last edited by a moderator:
Hapa siyo mapenzi tu ni MAHUSIANO, MAPENZI NA URAFIKI.
wewe ushakosa hizo sifa huna mahusiano mazuri na wana jukwaa na urafiki pia huna nimeliona hilo kupitia hii thread
 
kweli jina halimtupi mwenye nalo matendo kama jina la lako SUPU YA MAWE kweli kweli.
 
Last edited by a moderator:
duuuuhhhh
Hivi kumbe kuna watu wanataka hii kazi duuuhhhh
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom