Je kwa laptop kupata App inawezekanaHakuna sehemu ya Meseji kwa Laptop wala kwa Web yao
Meseji utapata ukiwa na App tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Je kwa laptop kupata App inawezekana
tumia hata simu ikishindikana
hii kali sawa na kuwa na gari ukawa huna pesa ya mafutaHana simu
hii kali sawa na kuwa na gari ukawa huna pesa ya mafuta
Simu ninayo,kule kutumia simu huku natumia laptop naona kama usumbufu