Jinsi ya Kutuma E-Mail yenye Executable files kwa GMail

Nyasiro

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
1,200
551
Habari zenu wana-tech.

Kwa wale mnaopata shida ya kutuma E-Mail zenye attachement ambazo zina files kama .exe na .bat leo napenda tupeane ka ujuzi kidogo hapa.

Kwa kawaida GMail hairuhusu watumiaji wake kutuma email ambazo viambatanisho vyake vina mafaili ya programu kama vile .exe na .bat lakini GMail sio SMART kiasi hicho. Unapotaka kutuma email GMail inakagua attachment na kuhakikisha kwamba hazina program files. Kama umeweka attachment kwenye .zip file basi GMail itakagua ndani ya zip file kujua kama ndani yake kuna program files au la halafu ndipo unaweza kutuma au ukashindwa kutuma email yako.

leo nimegundua vi-trick kama hivi

1. Inabidi files zako uzi-compress ziwe .rar kwa kutumia compressiona utility kama WinRAR. GMail haiwezi kuscan ndani ya .rar files. Pia kwa kukazia hapo unaweza ukaweka password na hakikisha umechagua Encrypt File names hapo GMail haitaweza kukuzuia kutuma attachment zako.

2. njia ya pili ni kurename file extension na kuiweka kwenye extension ambayo siyo ya program kama vile .png, .docx, .txt n.k

njia nyingine ni kama hii.

3. njia nyingine ni kuweka files zako kwenye Drive kama vile Google Drive, SkyDrive, Dropbox n.k halafu mtumie mtu link ya hilo faili kwa email badala ya ku-attach.
 
habari zenu wana-tech.


3. Njia nyingine ni kuweka files zako kwenye drive kama vile google drive, skydrive, dropbox n.k halafu mtumie mtu link ya hilo faili kwa email badala ya ku-attach.

hii ndio ya ukweli 100% na hizo application zinamwezesha mtumiaji kuweke file lenye size kubwa hata zaidi ya 10 gb free
 
Ile ya trick ya kua compress it does not work any more
washa upgrade scanning system
 
ya compress kuna mda inakubali na kuna mda inagoma

Hivi kwa nn wanafanya HIVI?
kwa .exe file likitumwa inakuwa je?
Au ndo GOOGLE waoga kiasi hiki
 
Ile ya trick ya kua compress it does not work any more
washa upgrade scanning system

may be lakini jana wakati naandika hii post nilikuwa nafanya majaribio na haikuniletea shida kabisa. Labda kama ukifanya kwa .zip lakini sio .rar

ya compress kuna mda inakubali na kuna mda inagoma

Hivi kwa nn wanafanya HIVI?
kwa .exe file likitumwa inakuwa je?
Au ndo GOOGLE waoga kiasi hiki

Google sio waoga bali wanajaribu kuwalinda watumiaji(wateja) wao. sio kila mtu anajua madhara ya kufungua .exe ambazo hujui zimetoka wapi!!!

inakuaje unakuta mail kwenye inbox yako au hap kwenye spam ambay ina attachment ya .exe ambayo hujamuomba mtu akutumie na hujui imetoka wapi.
 
may be lakini jana wakati naandika hii post nilikuwa nafanya majaribio na haikuniletea shida kabisa. Labda kama ukifanya kwa .zip lakini sio .rar



Google sio waoga bali wanajaribu kuwalinda watumiaji(wateja) wao. sio kila mtu anajua madhara ya kufungua .exe ambazo hujui zimetoka wapi!!!

inakuaje unakuta mail kwenye inbox yako au hap kwenye spam ambay ina attachment ya .exe ambayo hujamuomba mtu akutumie na hujui imetoka wapi.

basi wasidiable hadi LINKS kama hii ndo sababu maana phishing pia zinaweza husika hapa
pili,hata .exe ikitumwa kwa link bado mtu ataweza kuifuata kui-download I guess kuna kitu wanaogopa na hizi .exe kwenye system zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom