Jinsi ya kutega spy app

Jinsi ya kutega spy app

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,410
Nataka kujua sms ,watsup au hata kujua maongezi,mwenye utaalam pls
 
Nyie ndio mnaosakwa na TCRA kwa ukanjanja kama huu.
 
TCRA ikikufungulia mashataka unaenda jela hadi miaka kumi na faini hadi milioni kumi, tena ni fasta sana hata mahakamani hutomaliza masaa. Sasa wewe jifanye mjuaji, unataka umfuatilie mwenzako, akikufatilia wewe utakubali?
 
Inahitaji pesa nyingi sana kuweza Kudukua Mawasiliano ya Mtu!
 
Nataka kujua sms ,watsup au hata kujua maongezi,mwenye utaalam pls
Wasikutishe mkuu...hao sijui Tcra waanze na aliye hack account ya dogo jembe au wamtafute yule jamaa aliyeweka application ya kizush playstore anayewalia watu sh. 35,000 zao

Back to the topic..kupata sms anazopokea na anazotuma tafuta application (ya android) inaitwa phoneleash..hii utatakiwa kui install ktk simu ya wife wako,baada ya hapo utapata msg zake na call duration zake,utazipata katika namba yako ya simu au email(hapa utachagua wakati una install)

Na kuhusu whatsapp search humu jf "whatsapp web" ilisha zungumziwa sana jukwaa la teknolojia,hii utasoma vizuri whatsapp chat zake


Kama una swali ni PM.

ONYO:
Fanya AT YOUR OWN RISK
Na hizo njia ni kwaajli yakujifunza tu,sio kuingilia uhuru wa mtu mwingine.


@$%&%$
 
Mpe hela tu hayo mambo mengine achana nayo.
 
If you love somebody let her free, if she goes & comes back set her free again.
 
Wasikutishe mkuu...hao sijui Tcra waanze na aliye hack account ya dogo jembe au wamtafute yule jamaa aliyeweka application ya kizush playstore anayewalia watu sh. 35,000 zao

Back to the topic..kupata sms anazopokea na anazotuma tafuta application (ya android) inaitwa phoneleash..hii utatakiwa kui install ktk simu ya wife wako,baada ya hapo utapata msg zake na call duration zake,utazipata katika namba yako ya simu au email(hapa utachagua wakati una install)

Na kuhusu whatsapp search humu jf "whatsapp web" ilisha zungumziwa sana jukwaa la teknolojia,hii utasoma vizuri whatsapp chat zake


Kama una swali ni PM.

ONYO:
Fanya for your own risk na hizo njia ni kwaajli yakujifunza tu,sio kuingilia uhuru wa mtu mwingine.


@$%&%$

Mkuu unafanyaje kujihakikishia kuwa mimi ndo napata mawasiliano yake na si yeye kupata yangu,maana naskia app inatakiwa kuwa pande zote
 
Mkuu unafanyaje kujihakikishia kuwa mimi ndo napata mawasiliano yake na si yeye kupata yangu,maana naskia app inatakiwa kuwa pande zote
Hapana...phoneleash ukisha weka katika simu ya wife may be.,huitaji kuweka na kwako
utapata vitu husika kwa SMS au email
 
Fanya for your own risk na hizo njia ni kwaajli yakujifunza tu,sio kuingilia uhuru wa mtu mwingine.
@$%&%$


No offense ila mkuu hulipwi, najua umempa technique kwa sifa tu kuonekana unajua mambo mawili matatu kuhusu simu, na hizo sifa zenyewe ni like moja tu atakayokupa labda na mbili tatu kutoka kwa watu wenye tabia kama yake, hazisaidii chochote.

Kusema ati ni kwa ajili ya elimu tu unajaribu kujionyesha mzuri ila unajua fika uliyempa hatotumia kwa kusudi hilo, hizi njia sio kwamba wengine hatuzijui ila hatuzisemi ovyo hasa kwa mtu kama mtoa mada, wabongo wengi bado sana kwenye maswala madogo madogo kama haya wanalizwa mno.

Dont spread kitu ambacho its obvious ni illegal kwa kua unajua TCRA hawatomshika, it might seem that way kwa huyu, ila kati ya watu 100 siku akisema moja anaenda kushtaki lazima mtu afungwe.
 
No offense ila mkuu hulipwi, najua umempa technique kwa sifa tu kuonekana unajua mambo mawili matatu kuhusu simu, na hizo sifa zenyewe ni like moja tu atakayokupa labda na mbili tatu kutoka kwa watu wenye tabia kama yake, hazisaidii chochote.

Kusema ati ni kwa ajili ya elimu tu unajaribu kujionyesha mzuri ila unajua fika uliyempa hatotumia kwa kusudi hilo, hizi njia sio kwamba wengine hatuzijui ila hatuzisemi ovyo hasa kwa mtu kama mtoa mada, wabongo wengi bado sana kwenye maswala madogo madogo kama haya wanalizwa mno.

Dont spread kitu ambacho its obvious ni illegal kwa kua unajua TCRA hawatomshika, it might seem that way kwa huyu, ila kati ya watu 100 siku akisema moja anaenda kushtaki lazima mtu afungwe.

Mkuu pengine nia ya mtoa mada ni nzuri. Huwezi jua labda kuna majambazi yanataka kumtapeli wife wake akaona atafute namna ya kutrack kwa usalama wao.
 
Kama humuamini achana naye,usijitafutie stress za bure. Utapoteza muda wako kwa sababu ya kulinda kiungo cha mtu mwingine. Eti unalinda papuchi,hata kama ni la mkeo. Kile kitu hakilindwi,dog mwenyewe anatumia kama kigoda. Piga pesa,mpe pesa,hatagawa kwa wengine
 
pia ukumbuke developer wa app inayospy ana uwezo wa kuona hivyo vitu vya mke wako sababu vinaenda kwake then yeye ndio anakutumia wewe.

siku ukikuta picha za utupu za mke wako kwenye internet usimlaumu mtu mchawi ni wewe mwenyewe
 
Back
Top Bottom