Tanzania Tech
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 355
- 276
Habari wana JF, leo nimewaletea njia mpya ya kuroot simu ya Android bila kutumia kompyuta, Kumbuka njia hii itakusaidia kuroot simu yoyote ya Android hata zile za tecno ambazo zimekataa kuroot.
**KUMBUKA HATUTA HUSIKA UKIHARIBU SIMU YAKO**
HATUA ZA KUFUATA
1. Download App ya 360 Root Hapa - Tanzania Tech
2. Kisha install Vzuri Kwenye Simu Yako
3. Fungua Programu Hiyo kisha Bofya Sehemu Imeandikwa ROOT, Programu ni ya kichina ila neno ROOT linaonekana.
4. Baada ya simu yako kuroot, simu itazima na kuwaka.
***HAKIKISHA SIMU YAKO INAYO CHAJI YA KUTOSHA, PIA KUMBUKA UNAWEZA KUHARIBU SIMU YAKO****
**KUMBUKA HATUTA HUSIKA UKIHARIBU SIMU YAKO**
HATUA ZA KUFUATA
1. Download App ya 360 Root Hapa - Tanzania Tech
2. Kisha install Vzuri Kwenye Simu Yako
3. Fungua Programu Hiyo kisha Bofya Sehemu Imeandikwa ROOT, Programu ni ya kichina ila neno ROOT linaonekana.
4. Baada ya simu yako kuroot, simu itazima na kuwaka.
***HAKIKISHA SIMU YAKO INAYO CHAJI YA KUTOSHA, PIA KUMBUKA UNAWEZA KUHARIBU SIMU YAKO****