Tambi kuna aina 2, za pasta na zile nyeupe refu, ss kupka zile za pasta kwnz unakaanga mpk zibadlke rang kdg, alafu unachuja mafuta, den unatia tui/maziwa ya maji na hilik n sukar unakoroga na moto mdg mdg ili ziwive.. Na zikikauka tayar kwa kuliwa!!
Sent from my BlackBerry 9900 usingpp JamiiForums