Naombeni ms2ada jamani.Nimeweka OS aina ya xp kwenye PC YANGU ya pentium 2.driver zote za sauti zimekataa kufanya kazi.naombeni msaada.jina la PC linanipa shida limeandikwa kwa kichina
usinikumbushe stone age, intel pentium ll
Mkuu, huna watoto ukawapatia wakafunga kamba wakatengeneza gari ya kuchezea???? Pentium 2!!!!!!!!!!
ish...kumbe shida ni kujua maana ...nenda google!!Nashukuru.ILA BADO SIJAJUA NINI MAANA YA NO audio chipset
ish...kumbe shida ni kujua maana ...nenda google!!
What Is an Audio Chipset?shida yangu ni kujua kama ni software au hardware kaka.Nisaidie tafadhali
Pc za zamani walikuwa wanaweka separate Sound Card, Display Card etc. Angalia ndani kwenye Main Board kama kuna PCI Card slot iliyowazi, kama ipo nunua Sound Card pachika hapo. Ukimaliza hilo njoo tukupe maelekezo zaidishida yangu ni kujua kama ni software au hardware kaka.Nisaidie tafadhali