Kuna uwezekano wa kuipata iwapo una apple icloud kwenye hiyo simuWakuu habari,
nlipoteza iphone 5 yangu around mwezi hivi umepita nikitaka kuipata ntafanya nini wakuu msaada tafadhali
Asante.
ulikua enabled mkuu
ulikua enabled mkuu natumia njia gani kuweza kuipata
Log in kwenye icloud yako kwa pc afu bofya find my iphone then utaona imekulea location ilipo simu yako kwa ramani kama ya google map, utaona vitufe vya kubofya ili simu ipige alarm huko iliko ama kuilock huko iliko ili isitumike.
Mkuu ni kipi kinatumika unapotaka kutafuta IPhone yako, Yaani natakiwa kunote email address au imei number za iPhone ?
Tusaidiane ili siku zikiibiwa tuwe na details zitakazo tusaidia kutafuta.
Nimejaribu kitu kimekubali yaani inakuonyesha mpaka nyumba yaani exactly kabisa mahali ilipo hasa ukiweka satellite modeCha msingi find my phone iwe on....na aliyeiiba simu awe anatumia...kwamba iwe ina access ya internet ndo utaweza kupata location...otherwise uilock uprovide information zako na namba zako kwamba umeibiwa iyo simu na akutafute kupitia izo namba...kila akiwasha simu atakua anakutana na huo ujumbe
www.icloud.com itakupa option ya ku-sign in Iclouds email unaingiza itakuja option kibao mfano photo, find my Iphone alafu una click find my iphone utaona kuna sehemu pa kubonyeza alarm au kufuta info zote yaani kimsingi informationMkuu ni kipi kinatumika unapotaka kutafuta IPhone yako, Yaani natakiwa kunote email address au imei number za iPhone ?
Tusaidiane ili siku zikiibiwa tuwe na details zitakazo tusaidia kutafuta.