Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,163
- 5,623
Stupid Accusation!Anayesema kwamba huu ni wizi ukute yeye kwenye PC yake anatumia Pirated Windows, Pirated Microsoft Office, na anadowload movies kutoka kwenye torrent ambayo hajawahi kuilipa hata senti tano.Acheni double standards nyie, sisi ni third word country hela tuliyonayo ni ya kununua chakula tu, hivyo vingine tutatumia bure tu kwa namna yoyote.
All in all mtoa mada nashukuru sana kwa kuleta hii thread, itatusaidia sana watu wengi kupata courses za Udemy bure
Kwa taarifa yako tu Major works zangu ni kwenye Mac na Linux. Hata Windows kwenye Machine yangu ilikuwa ni genuine Windows 7 upgraded to Genuine Win 10 via MS Offer. Na nilianza kununua software kitambo sana. So kama wewe ni mwizi usipende kuwashirikiwa wenzako kwenye wizi wako.
Hapo kwenye bold ni utetezi kama wa vibaka wengine tu. Kuwa maskini sio justification ya kuwa mwizi. Tafuta hela lipia. Kama huwezi usitafute visingizio kujustify wizi wako!