Mwanambugulu
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 666
- 814
Wakuu habari za muda huu?
Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa late 20's nilimaliza shule mwaka 2014 lakin paka leo sijapata ajira rasmi zaidi ya kuunga unga tu na mission town za hapa Dar es salaam
Mzee wangu ni mkulima pia mama ni mkulima nina dada na ma kaka bahati mbaya wote walikimbia umande (shule) basi mimi tu ndio nilichomoka kwenye familia nikafika paka chuo sasa mzee alikua na matumaini sana na mimi pia na ndugu wengine ni kama walielekeza sana matumain yao ya mafanikio kwangu.
Kama unavyojua kwa familia zetu za wakulima huko ni kwamba ili uonekane msomi basi inabidi ukimaliza shule upate kazi alafu usaidie issue kidogo za home
Sasa wakuu mimi nimehangaika sana kupata ajira huwa naishia kupata zile za mikataba miezi mi tatu lakini mwisho hakuna kitu na malipo yake hayakizi kabisa(saizi hata hizo sizipati yena).Nimepiga vibarua hadi na watu wa darasa la saba viwandani lakin pesa unapopata unaishia kula na kodi tu
Nimesambaza cv katika makampuni kibao (auditing firm) za Dar lakin paka leo naona kimya pia mabenk na sehemu zingine lakin kupata ajira imekua ngumu sana
Nime fight sana angalau nipate mtaji basi nifanye hata biashara lakin familia ninazotokea ( pamoja na familia za ndugu) wote kwanza ndio wanasema bora umesoma sasa utusaidie na ww
Nikiangalia home hali ni mbaya sana sasa kimbembe kipo saizi hapa nadaiwa kodi mwezi ujao alafu ndani pia misosi imekata kabisa pia baya zaidi pesa hata nauli ya kutoka ili nizunguke imekata kabisa nimebaki home tu.
Nazunguka viwanda vya karibu kidogo hapa angalau nipige mzigo nipate hata hela ya gesi nako wiki hii wamenizingiua vibaya yani wanaita watu kwa kujuana bahat mbaya mimi sina ninae mjua
Juzi nimepiga dili kwenye kiwanda cha kufyatua matofali aisee nimekimbiza mzigo kuanzia asubui paka saa kumi na moja beba sana matofali nikaja kuramba elfu kumi jioni lakin nimeamka naumwa vibaya sana paka sijielewi yani
Mbaya zaidi nikiwaangalia washikaji zangu ambao tulikua tunapiga msuli pamoja aisee wameramba ajira saizi maisha smooth kabisa yani wanafunga ndoa tu alafu mi nikucheki geto cha muhimu ni kitandani tu labda na ka kompyuta kangu mana kuna madini
Sasa wakuu kwa waliowahi kukutana na changamoto kama hizi hivi mliwezaje kuzitatua? Mana hapa nina mawazo kiasi kwamba mda mwingine nawaza hadi najiogpa
Mbaya zaidi nilikua na rafiki wa kike (girlfriend ) wakati wote hatuna mission ilikua poa bahati nzuri akapata kazi mkoani basi ahadi kikawa nyingi pia alikua ananipaga tafu sana ila baada ya kama miezi 6 hivi mambo yakabadilika akawa hasomeki tukawa tunawasiliana tu hivo hivo ila ghafla simu yake ikawa haipatikani mwezi uliopita nimeona picha za harusi yake
Usiku silali aisee kichwa kinauma pia naweza Kuhisi njaaa lakini mda mwingine najikuta nimekata hata masaaa 18 bila kutia kitu na niko fresh tu
Nikiangalia matumaini wakati nasoma daah pia nikiangalia wanavyonichukulia kule home mkoani na mategemeo yao basi napotea kabisa
Ushauri wenu wakuu ili niweze kujikontroll angalau hata nipate usingizi mana situmiii kilevi chochote sasa usiku unakua mrefu sana alafu mchana ndio natembea kama chizi vile sielewi napishana na watu siwaelewi wengine hata siwaoni
Vyeti vinapata vumbi tu pia mtaji ndio hakuna daaah. Wakuu hebu nipeni ushauri nipunguze huu msongo wa mawazo
Nawasilisha,,
Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni kijana wa late 20's nilimaliza shule mwaka 2014 lakin paka leo sijapata ajira rasmi zaidi ya kuunga unga tu na mission town za hapa Dar es salaam
Mzee wangu ni mkulima pia mama ni mkulima nina dada na ma kaka bahati mbaya wote walikimbia umande (shule) basi mimi tu ndio nilichomoka kwenye familia nikafika paka chuo sasa mzee alikua na matumaini sana na mimi pia na ndugu wengine ni kama walielekeza sana matumain yao ya mafanikio kwangu.
Kama unavyojua kwa familia zetu za wakulima huko ni kwamba ili uonekane msomi basi inabidi ukimaliza shule upate kazi alafu usaidie issue kidogo za home
Sasa wakuu mimi nimehangaika sana kupata ajira huwa naishia kupata zile za mikataba miezi mi tatu lakini mwisho hakuna kitu na malipo yake hayakizi kabisa(saizi hata hizo sizipati yena).Nimepiga vibarua hadi na watu wa darasa la saba viwandani lakin pesa unapopata unaishia kula na kodi tu
Nimesambaza cv katika makampuni kibao (auditing firm) za Dar lakin paka leo naona kimya pia mabenk na sehemu zingine lakin kupata ajira imekua ngumu sana
Nime fight sana angalau nipate mtaji basi nifanye hata biashara lakin familia ninazotokea ( pamoja na familia za ndugu) wote kwanza ndio wanasema bora umesoma sasa utusaidie na ww
Nikiangalia home hali ni mbaya sana sasa kimbembe kipo saizi hapa nadaiwa kodi mwezi ujao alafu ndani pia misosi imekata kabisa pia baya zaidi pesa hata nauli ya kutoka ili nizunguke imekata kabisa nimebaki home tu.
Nazunguka viwanda vya karibu kidogo hapa angalau nipige mzigo nipate hata hela ya gesi nako wiki hii wamenizingiua vibaya yani wanaita watu kwa kujuana bahat mbaya mimi sina ninae mjua
Juzi nimepiga dili kwenye kiwanda cha kufyatua matofali aisee nimekimbiza mzigo kuanzia asubui paka saa kumi na moja beba sana matofali nikaja kuramba elfu kumi jioni lakin nimeamka naumwa vibaya sana paka sijielewi yani
Mbaya zaidi nikiwaangalia washikaji zangu ambao tulikua tunapiga msuli pamoja aisee wameramba ajira saizi maisha smooth kabisa yani wanafunga ndoa tu alafu mi nikucheki geto cha muhimu ni kitandani tu labda na ka kompyuta kangu mana kuna madini
Sasa wakuu kwa waliowahi kukutana na changamoto kama hizi hivi mliwezaje kuzitatua? Mana hapa nina mawazo kiasi kwamba mda mwingine nawaza hadi najiogpa
Mbaya zaidi nilikua na rafiki wa kike (girlfriend ) wakati wote hatuna mission ilikua poa bahati nzuri akapata kazi mkoani basi ahadi kikawa nyingi pia alikua ananipaga tafu sana ila baada ya kama miezi 6 hivi mambo yakabadilika akawa hasomeki tukawa tunawasiliana tu hivo hivo ila ghafla simu yake ikawa haipatikani mwezi uliopita nimeona picha za harusi yake
Usiku silali aisee kichwa kinauma pia naweza Kuhisi njaaa lakini mda mwingine najikuta nimekata hata masaaa 18 bila kutia kitu na niko fresh tu
Nikiangalia matumaini wakati nasoma daah pia nikiangalia wanavyonichukulia kule home mkoani na mategemeo yao basi napotea kabisa
Ushauri wenu wakuu ili niweze kujikontroll angalau hata nipate usingizi mana situmiii kilevi chochote sasa usiku unakua mrefu sana alafu mchana ndio natembea kama chizi vile sielewi napishana na watu siwaelewi wengine hata siwaoni
Vyeti vinapata vumbi tu pia mtaji ndio hakuna daaah. Wakuu hebu nipeni ushauri nipunguze huu msongo wa mawazo
Nawasilisha,,