Jinsi ya kumzunguka Dalali

Jinsi ya kumzunguka Dalali

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Yaani madalali wamekuwa kero miji mingi Tanzania hasa jiji la Dar, wiki chache zilizopita gazeti moja liliripoti kuwa kuna madalali mpaka ikulu wanaotapeli watu kwa kusema wanawatafutia ajira ofisi ya raisi.

Sasa wewe ukitaka kumzunguka dalali, unaweza sema unataka kiwanja then yeye ataenda kukuonyesha hicho kiwanja na baada ya yeye kukuonyesha hicho kiwanja unamwambia ngoja nikafikirie then ndani ya wiki hii nitakutafuta.

Baada ya hapo we kesho yake unarudi mpaka kwenye kile kiwanja unawauliza majirani nani ni mmiliki wa hicho kiwanja utaambiwa ni fulani na anaishi wapi na utaomba namba yake ya simu kisha unampigia simu unamueleza shida yako, mtapanga jinsi ya kuonana kisha unafanya manunuzi. Utakaposhangaa ni pale mwenye kiwanja atakwambia kiwanja anauza milioni 8 wakati dalali alikwambia kinauzwa milioni 20.

NB: Tumia ujanja huo au unaofanana na huo na unaweza kuuboresha zaidi katika madalali wa kila aina waotaka pesa za bure kwa kushinda vijiweni
 
Nimeipenda sana hii. Madalali wakati mwingine ni kero
 
Yaani madalali wamekuwa kero miji mingi Tanzania hasa jiji la Dar, wiki chache zilizopita gazeti moja liliripoti kuwa kuna madalali mpaka ikulu wanaotapeli watu kwa kusema wanawatafutia ajira ofisi ya raisi.

Sasa wewe ukitaka kumzunguka dalali, unaweza sema unataka kiwanja then yeye ataenda kukuonyesha hicho kiwanja na baada ya yeye kukuonyesha hicho kiwanja unamwambia ngoja nikafikirie then ndani ya wiki hii nitakutafuta.

Baada ya hapo we keshon yake unarudi mpaka kwenye kile kiwanja unawauiliza majirani nani ni mmiliki wa hicho kiwanja utaambiwa ni fulani na anaishi wapi na utaomba namba yake ya simu kisha unampigia simu unamueleza shida yako mtapanga jinsi ya kuonana kisha unafanya manunuzi. Utakaposhangaa ni pale mwenye kiwanja atakwambia kiwanja anauza milioni 8 wakati dalali alikwambia kinauzwa milioni 20.

NB: Tumia ujanja huo au unaofanana na huo na unaweza kuuboresha zaidi katika madalali wa kila aina waotaka pesa za bure kwa kushinda vijiweni

Labda kama hicho kiwanja hakijakamatwa na dalali mzoefu. Dalali mzoefu huwezi kumzunguuka kitoto hivyo!..yeye ndio anamiliki kiwanja na mwenye mali anamsikikiza yeye!..mikataba yote anatengeneza dalali na mwenye mali anasikiliza tu! Wewe umekutana na dalali underground
 
ww kweli bado mgeni Dar Es Salaam karibu sana...unadhani watu wote wanaotafuta chumba/kiwanja hawana mawazo kama hayo!?
kwa taarifa yako huku mjini mwenye nyumba/kiwanja hawezi kukuuzia kitu chochote bila uwepo wa dalali na hata ukienda kwake straight atakwambia nenda kwa dalali uje nae hayo ndio makuliano yao
 
ww kweli bado mgeni Dar Es Salaam karibu sana...unadhani watu wote wanaotafuta chumba/kiwanja hawana mawazo kama hayo!?
kwa taarifa yako huku mjini mwenye nyumba/kiwanja hawezi kukuuzia kitu chochote bila uwepo wa dalali na hata ukienda kwake straight atakwambia nenda kwa dalali uje nae hayo ndio makuliano yao

Huyo mwenye nyumba au mwenye kiwanja nae ni dalali pia
 
ww kweli bado mgeni Dar Es Salaam karibu sana...unadhani watu wote wanaotafuta chumba/kiwanja hawana mawazo kama hayo!?

kwa taarifa yako huku mjini mwenye nyumba/kiwanja hawezi kukuuzia kitu chochote bila uwepo wa dalali na hata ukienda kwake straight atakwambia nenda kwa dalali uje nae hayo ndio makuliano yao

Kwan mwenyemali akikuuzia bila dalali anapungukiwa nn?..
 
Nyumba moja ataonyesha kwa watu hata 20 kwa siku!
 
Wew sasa unataka ugomvi na wajenzi wa mji.
 
ww kweli bado mgeni Dar Es Salaam karibu sana...unadhani watu wote wanaotafuta chumba/kiwanja hawana mawazo kama hayo!?
kwa taarifa yako huku mjini mwenye nyumba/kiwanja hawezi kukuuzia kitu chochote bila uwepo wa dalali na hata ukienda kwake straight atakwambia nenda kwa dalali uje nae hayo ndio makuliano yao

Mkuu madalali bado wapo kizamani sana hao unaosemea hata asilimia 10 hawajafika wengi ni walevi tu washinda vijiweni
 
mgeGEDO

Mkuu madalali ni wajanja sana unakuta tayari ameshafanya makubaliano na mwenye nyumba na na anawajua madalali wenzake wote wanaoikampenia hio nyumba au kiwanja,cha msingi ni kubargain tu sababu madali wengi ni wazee wa "heri kumi ya sasa kuliko mia ya kesho" sababu hana hakika dalali yupi atauza hio kitu,labda kama una muda wa kumaliza soli za viatuna milolongo ya mahakama manake kiukwel kama ni uhuni ulianzia kwao.
 
Last edited by a moderator:
​shida wenye mali ndo wanawaendekeza madalali, hata ukienda mwenyewe hauzi bila kuwepo dalali aliyempa kazi hiyo
 
Kwa sehemu kubwa madalali wamekuwa wakipanga bei mpya ya vitu iwe nyumba ,chumba hata kiwanja. Hili ndio tatizo kubwa la madalali utakuta nyumba ya laki 2 mwaka huu dalali anaongea na mwenye nyumba mwakani laki laki 3 km hutaki ondoka na dalali ataleta mtu ili apate 10%.kwa hali hii madalali watakuwa na nguvu siku zote. Lakini pia iweje ufikilie kumkwepa dalali ili hari ni kweli amekusaidia kupata kiwanja ama nyumba?au ndio kweli kuwa mwafrika huwaza ku "default" zaidi kuliko kulipa "bills " Zake? Madalali wanasaidia sana tena wengine wako "flexible in payments "
 
Mleta mada umeleta jambo zuri ...Ingawa kuna mapungufu makubwa juu ya ushauri wako wa kumzunguka aliyekusaidia kutatua maswaibu uliyonayo ...Njia ya kuzungukana inaudhi na inaamsha hisia za kumdharau na kumkejeli aliyepoteza muda wake kwa matumaini anafanya jambo likalomwezesha mwisho wa siku akapata chochote , kumbe wewe unamtumia kupata malengo yako kwa khadaa..una mawazo mabaya na hayana tija kwa maendeleo.,nimesema jambo ulilolianzisha ni zuri kwa maana ya kuwa madalali wanamchango mkubwa katika maendeleo na shughuli za kila siku za wanadamu...ndio maana kwenye biashara za kimataifa bila dalali huwezi kufanya biashara ,dalali ana uwezo wa kufanikisha biashara au kuihujumu...iwe hata ndogo kiasi gani...,,..kwa mantiki hiyo ingependeza basi serikali ingelifanyia kazi kwa kuwapa elimu stahiki ya udalali wahusika, na kuweka sheria kwa kuziboresha zilizoko pia wawe na ofisi maalum zitakazokuwa sehemu husika kwa malengo ya kuwatambua madalali halali, kwa mfano kama ni biashara za mboga mboga n.k sokoni kariakoo..au kama ni mahindi, tandale soko la mahindi n.k aliradi kunawekwa mpango mzima wa kuboresha mahitaji baina ya muuzaji na mnunuzi,kumbuka udalali ni AJIRA kamili.. Kazi za udalali zinapaswa kuboreshwa ili kuondoa na hata kuzuia utapeli usiwepo baina ya muuzaji na mnunuzi...
 
Kiukweli hawa jamaa wababoa na kila kukicha wanazidi kuongezeka na kujikita kila mahali. Hata sokoni ukienda mkulima/mfanya biashara hana nafasi ya kuamua bei bali madalali.

Siwapendi na nikishajua na deal na dalali siendelei tena na hiyo biashara.
Najua hata humu wapo, hapo juu nimewasoma na nitaendelea kuwasoma lakini siwapendi. Jitu zima linakaa mjini halifanyi kazi unasubiri mtu ahame uanze kudalalia chumba. Jenga yako.
 
Labda kama hicho kiwanja hakijakamatwa na dalali mzoefu. Dalali mzoefu huwezi kumzunguuka kitoto hivyo!..yeye ndio anamiliki kiwanja na mwenye mali anamsikikiza yeye!..mikataba yote anatengeneza dalali na mwenye mali anasikiliza tu! Wewe umekutana na dalali underground
Kweli kabisa dalali professional huwezi kumzunguka. Wale jamaa wakishaoneshwa mali hata mwenyewe akiuza wanakwenda kudai chao kwani huwa wameingia makubaliano. Ila kama ni dalali wa jua kali hapo unaweza kumzunguka. Dalali kamili yeye hukabidhiwa mali na mwenye mali hawezi tena kurudi na kufanya mapatano na mteja. Na kama wewe ni mwenye mali ukijifanya kumzunguka dalali wakati ulishampa dili anaweza hata kukuua au hata kukufilisi mali yako. Madalali ni watu muhimu sana kwani ndio wanaotafuta masoko. Unaweza kuwa unauza kitu wewe mwenyewe kisinunuliwe lakini ukimpa dalali hakichukui round.
 
Nae akale wapi ? Sindo kazi zao !! Dalali, Yeye kazi yake akuunganisheni Seller na buyer !!
 
Kiukweli hawa jamaa wababoa na kila kukicha wanazidi kuongezeka na kujikita kila mahali. Hata sokoni ukienda mkulima/mfanya biashara hana nafasi ya kuamua bei bali madalali.

Siwapendi na nikishajua na deal na dalali siendelei tena na hiyo biashara.
Najua hata humu wapo, hapo juu nimewasoma na nitaendelea kuwasoma lakini siwapendi. Jitu zima linakaa mjini halifanyi kazi unasubiri mtu ahame uanze kudalalia chumba. Jenga yako.

We kweli mkirua!!ndege anayotumia rais wako ili dalaliwa,sembuse vyumba vya kupanga!!!!
 
Ujinga tu nyumba au kiwanja changu nikitaka kupangisha au kuuza naweka no zangu hazarani kwishakazi....
 
Back
Top Bottom