Hivi watanzania wenzangu nadhani mnautambua vya kutosha mchango wa baba wa taifa hayati J .K. Nyerere kuwa mwalimu alitumia nguvu zake nyingi kupinga udini na ukabila na ndio maana alikazania sana umoja wetu watanzania kama ndugu na ndio maana kiswahili kilishamiri kila mahala tanzania na kweli alifanikiwa watanzania tukawa waungwana na kuuacha utwana sokoni ndio amani, utulivu na mshikamano viliitawala nchi na CCM imeliendeleza hili mpaka sasa. ..,cha ajabu kuna chama cha siasa ambacho kimejikita kwenye ukabila na kubashiria kuuvunja huu umoja na utulivu tulionao jamani tihitaji kuijenga Tanzania huru au kuibomoa na kwa kufanya hivyo tutakuwa tunamuenzi vipi mwalimu ambaye alijitahidi kadri awezavyo mpaka tukawa na mshikamano watanzania jamani ili kuepuka kuuvunja umoja huu tulionao oktoba 31 watanzania wote kura kwa ccm ili wajue kuwa bado tunaitaka amano ya nchi yetu Mungu tubariki