Jinsi ya kujua simu original ama copy

Simu ipo dukani au kwenye box, unawezaji download na ku-instal hiyo app? na itabidi uiwekee na bando.
 
Simu ipo dukani au kwenye box, unawezaji download na ku-instal hiyo app? na itabidi uiwekee na bando.
Mim nikitaka simu dukani naichukua naanza kuikagua..ni haki yangu mteja..kama hutak naenda duka lingine

Kuhusu kuweka bando..nawasha hotspot kwangu naunga na hyo mpya naanza sasa kazi.

Mm simu mpya naingiza mpka download mode mbele ya muuza duka.

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Ya online je!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…