Jinsi ya kujizuia kupizi mapema

Jinsi ya kujizuia kupizi mapema

ENC

Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
23
Reaction score
3
Ndugu wana jf naomba msaada jinsi ya kujizuia kupizi mapema. kiukwel sijawahi piga punyoto toka mwaka jana 2013 january nifanye mapenzi had mwez huu nilipofanya mapenzi na mchumba angu hii wiki ya pili huwa na pizi mapema kabla hata dk 2. na nikikaa dk 15 mzee anadai tena kwa hasira na atachukua hat saa nusu saa had dk 45 kuja kupizi ila kwa laundi ya kwanza huwa fasta. na siku ya kwanza nakumbuka nilipizi kwenye mlango wakati inaingia. je nifanyeje ndugu zangu nataka nikianza laundi ya kwanza ichukue hata dk 30 hadi 45
 
kwanza unapiga kavu au unapiga na ndomu?maana somo la hyo kitu lina apply tofaut kwenye hzo category mbili,so b4 sjakupa maujuz,lazma nijue unapiga kav au na ndom
 
Kitu ya kawaida hiyo ukikaa muda mrefu au ukiwa na mtu uliyemmind sana round ya kwanza iko hivyo. Ingekuwa issue kama ingekuwa kila round unapizi haraka hapo ungehitaji msaada
 
Ukichapiwa utajua dawa yake, nenda jukwaa la jf docto kuna thread kama hii.
 
Ndugu wana jf naomba msaada jinsi ya kujizuia kupizi mapema. kiukwel sijawahi piga punyoto toka mwaka jana 2013 january nifanye mapenzi had mwez huu nilipofanya mapenzi na mchumba angu hii wiki ya pili huwa na pizi mapema kabla hata dk 2. na nikikaa dk 15 mzee anadai tena kwa hasira na atachukua hat saa nusu saa had dk 45 kuja kupizi ila kwa laundi ya kwanza huwa fasta. na siku ya kwanza nakumbuka nilipizi kwenye mlango wakati inaingia. je nifanyeje ndugu zangu nataka nikianza laundi ya kwanza ichukue hata dk 30 hadi 45

Mara ya mwisho kula bamia,na tembele ilikuwa lini!
 
Ndugu wana jf naomba msaada jinsi ya kujizuia kupizi mapema. kiukwel sijawahi piga punyoto toka mwaka jana 2013 january nifanye mapenzi had mwez huu nilipofanya mapenzi na mchumba angu hii wiki ya pili huwa na pizi mapema kabla hata dk 2. na nikikaa dk 15 mzee anadai tena kwa hasira na atachukua hat saa nusu saa had dk 45 kuja kupizi ila kwa laundi ya kwanza huwa fasta. na siku ya kwanza nakumbuka nilipizi kwenye mlango wakati inaingia. je nifanyeje ndugu zangu nataka nikianza laundi ya kwanza ichukue hata dk 30 hadi 45
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom