Kuna jamaa nilisoma naye, alikuwa anachafua ubao mzima akishusha maths, lakini form alilamba division four na math yenyewe alizungusha
Kuna jamaa nilisoma naye, alikuwa anachafua ubao mzima akishusha maths, lakini form alilamba division four na math yenyewe alizungusha
Hahaha nimekumbuka mbali sana tulikuwa nae mtu wa namna hii sijui kwa nn mwisho wao huwa bashiteMsuli wa fuso, matokeo bajaji!
SwadaktHalafu diazaini yao lazima wawe na miwani hata kama hawana matatizo ya macho
Chaaaa BashiteHahaha nimekumbuka mbali sana tulikuwa nae mtu wa namna hii sijui kwa nn mwisho wao huwa bashite