wabara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,500
- 706
anamajini MAIMUNA, SHARIF na MAKATA
Kwa hao majini pamoja na upako wako huwezi wakemea au bado hujakomaa ki-imaani?
Naomba jitaahid sana kuwa karibisha wale jamaa zetu wangine naona wameuchuna na kujifanyiza ati hawajanisikia wito wangu...!
La sivyo hoyo bwana . Dr Kahtaan tumuache aendelee kuhodhi hiyo MAN OF THE DAY au wasemaje Remote ...?!
Last edited by a moderator: