FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,801
- 46,923
Nilikuwa nataka kufahamu.., nikitaka kuhack akaunti ya Kahtaan nafuata procedure zipi..?? msaada wa haraka tafadhali..!!
Pamoja tutaweza mkuu..!!Kamanda wewe ni pm hata mimi namtafuta sana jamaa huyu,tufanye ushirikiano tu
Nilikuwa nataka kufahamu.., nikitaka kuhack akaunti ya Kahtaan nafuata procedure zipi..?? msaada wa haraka tafadhali..!!
ONYO..
Jamaaa anamajini atakurushia naomba a.cha ku'deal nae[
Daktuur kahtaan amekushikeni vibaya!, kile ni kichwa cha madrasa. Achana nacho!
Nilikuwa nataka kufahamu.., nikitaka kuhack akaunti ya Kahtaan nafuata procedure zipi..?? msaada wa haraka tafadhali..!!
ONYO..
Jamaaa anamajini atakurushia naomba acha ku'deal nae
Anakutisha nini mbona mweupe tu hana jipya wala hoja
Katika siku ambazo umeniangusha kama mlevi ni leo...!
Yaani wamaanisha huwezi nena japo kwa LUGHA MPYA majini yakasssshindwa au ile ni IMANI ya mdomoni tu...?!!
Au umekusudia kutuangusha watu wa CCT kwa hoyo jamaako @ Dr Kahtaan ..?!!
Naona wamfanzia promo mkuu.
Sasa nakuitia Padre mgen Eiyer Matola ambaye ni bintiye wa kufikia Buchanan @Schindler na wangine wooote wenye kuguswa na hili tukio lako.
Nilikuwa nataka kufahamu.., nikitaka kuhack akaunti ya Kahtaan nafuata procedure zipi..?? msaada wa haraka tafadhali..!!
mmmhhhh thats why i am an atheist..Huyu jamaa mi bwana simpendi tuu.., namchukia kupita maelezo..! kwanza ana-lugha mbovu.., nilishawahi kuona post yake eti anasema ile mipakti ya konyagi ni damu ya Yesu, em' just imagine..!