Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,635
- 12,343
kwenye hiyo Blackberry Z10 yako
shikilia
Volume up na Volume down Buttons !
Kwapamoja alafu achia!
Hii imekubaki kwenye z10 ,ila kwenye Toshiba imenigomea.Nimefata maelekezo yote hapo juu lakini wapi.sijui tatizo