JINSI YA KUFANYA MANUNUZ MTANDAON NA MASTERCARD

JINSI YA KUFANYA MANUNUZ MTANDAON NA MASTERCARD

eliazari

Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
29
Reaction score
6
jaman naomba kujuzwa jinsi kulipia online ukiwa na mastercard je zile namba tatu ndo password au,, na je izo namba tatu ni laxima uzijaze?? na kuhusu sehemu ya tar na mwez najaza nn???
nijuzeni
 
Hizo namba tatu siyo password ila inabidi uzijaze, kama watumia paypal, au eBay payment kupitia akaunt yako, kwa maelezo zaid tembelea branch yeyote waliyokufungulia account na kukupa hiyo MasterCard
 
Unaweza kujisajili na PayPal au mfumo mwingine wa kuaminika kwaajili ya malipo online ukafanya miamala kupitia huko.

Sishauri ufanye muamala direct kutoka kwenye mastercard yako unless otherwise huyo unaefanya nae muamala ni wakuaminika.
 
m
Unaweza kujisajili na PayPal au mfumo mwingine wa kuaminika kwaajili ya malipo online ukafanya miamala kupitia huko.

Sishauri ufanye muamala direct kutoka kwenye mastercard yako unless otherwise huyo unaefanya nae muamala ni wakuaminika.
maana nataka nipromote page facebook
 
Back
Top Bottom