Jinsi ya kufanikiwa katika maisha

Jinsi ya kufanikiwa katika maisha

Mafanikio ni nini?

Ni mali? Ni furaha? Ni afya? Ni umaarufu?

Wengine wanataka umaarufu, wakiupata wanaona ni mzigo!

Kwanza kabisa, kufanikiwa kwa mtu mmoja si lazima kuwe kufanikiwa kwa mtu mwingine.

Kuna wakina Prince Harry wamezaliwa familia za kifalme, wana maisha ambayo wengi wanaona ni ya mafanikio makubwa.

Lakini wenyewe wanayakimbia.Prince Harry na mkewe anajitoa kwenye shughuli za familia ya kifalme.

Malkia wa Japan hivi karibuni ameeleza jinsi anavyokuwa na msongo wa mawazo sana.

Mfalme wa tahiland kamshusha hadhi mke wake.Ana matatizo katika masuala ya ndoa.

Ted Turner, bilionea aliyeanzisha CNN na mtu mwenye ardhi kubwa kuliko wote Marekani nafikiri mpaka sasa, alisema kwamba, mafanikio yake yote aliyoyapata maishani anasikitika kwamba maisha yake ya ndoa hayakuwa na mafanikio.

Hawa ni watu ambao kwa viwango vya watu wengi ni watu waliofanikiwa sana, lakini na wao wana changamoto zao.

Sasa tungeanza kwa kujiuliza labda.

Mafanikio ni nini?
mafanikio ni kufikia malengo/lengo uliyokuwa umejiwekea(kufaniksha)
 
mafanikio ni kufikia malengo/lengo uliyokuwa umejiwekea(kufaniksha)
Sasa mbona mtu anatuambia "lead with vision" pamoja na nukuu za billionea Jack Ma, wakati hajajua hata kama mtu anataka ku lead at all?

Wengine wanaona ku lead tabu, kengo lao katika maisha ni kuwa followers.

Sasa kuwaambia wa lead inakuwa vipi kupata mafanikio hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona mtu anatuambia "lead with vision" pamoja na nukuu za billionea Jack Ma, wakati hajajua hata kama mtu anataka ku lead at all?

Wengine wanaona ku lead tabu, kengo lao katika maisha ni kuwa followers.

Sasa kuwaambia wa lead inakuwa vipi kupata mafanikio hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
walio wengi ni walimbukeni, wanaamini mafanikio yako kwenye mali au madaraka(cheo).
eg. nimejiwekea malengo ndani ya mwaka huu 2020 nisome vitabu 20, nikimaliza tayari ntakuwa nmetimiza lengo(nimefanikiwa)
 
walio wengi ni walimbukeni, wanaamini mafanikio yako kwenye mali au madaraka(cheo).
eg. nimejiwekea malengo ndani ya mwaka huu 2020 nisome vitabu 20, nikimaliza tayari ntakuwa nmetimiza lengo(nimefanikiwa)
Hahaha, mimi niliweka lengo vitabu viwili kwa wiki.

Tatizo mitabu yangu ninayotaka kusoma ni ile ya kurasa 900!

Utaona nimepanga kushindwa tayari hapo.
 
Hahaha, mimi niliweka lengo vitabu viwili kwa wiki.

Tatizo mitabu yangu ninayotaka kusoma ni ile ya kurasa 900!

Utaona nimepanga kushindwa tayari hapo.
hahaa! usikate tamaa komaa, mimi kitabu kikishakuwa na page nyingi naona uvivu kukisoma au nasoma kwa kuruka ruka pages nasoma hints tu na maelezo kidogo.
ila kusoma vitabu changamoto iko kwenye muda tu
 
hahaa! usikate tamaa komaa, mimi kitabu kikishakuwa na page nyingi naona uvivu kukisoma au nasoma kwa kuruka ruka pages nasoma hints tu na maelezo kidogo.
ila kusoma vitabu changamoto iko kwenye muda tu
Mimi kitabu chenye pages chache naona napunjwa.

Jana nimeanza kusoma kitabu cha Profesa Paul Preston kuhusu maisha ya dikteta wa Hispania Franscisco Franco. Kitabu kina kurasa 1024.

Unasoma kitabu kikubwa kama Biblia!

Ukisikia kiranga ndiyo hicho.
 
Mimi kitabu chenye pages chache naona napunjwa.

Jana nimeanza kusoma kitabu cha Profesa Paul Preston kuhusu maisha ya dikteta wa Hispania Franscisco Franco. Kitabu kina kurasa 1024.

Unasoma kitabu kikubwa kama Biblia!

Ukisikia kiranga ndiyo hicho.
kuna rafiki yangu mmoja ni mtu wa dini sana aliniambia ukitaka kusoma bibilia na kuimaliza unasoma pages tano kila siku ndani ya mwaka unakuwa umeshamaliza, nikamuitikia sawa.
mimi bibilia nasomaga zile sehemu zenye hadithi tu, hayo maandiko mengine nawaachia wa kina mwamposa na kondoo zao
 
Back
Top Bottom