Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,440
- 110,076
Lete habari kiongozikiaje boss
Lete habari kiongozikiaje boss
kwema mkuu emu elezea kidogo apo mkuu afu ile kessi natafuta mda wa kutosha nikutumie PMLete habari kiongozi
Ok unipatie mrejesho kiongozi. Sina cha kuongea tuwasubir ma GT watuezekwema mkuu emu elezea kidogo apo mkuu afu ile kessi natafuta mda wa kutosha nikutumie PM
usijali mkuuOk unipatie mrejesho kiongozi. Sina cha kuongea tuwasubir ma GT watueze
Poa poa kiongozi
Kama unafanya biashara ndio nimekueleza hapo kwenye thread kuwa kuna vitu inabidi uviweke mbele ila sio pesa kwanza futa maadui pili Mteja kwanza alafu tafuta kuwa mtu fulani anae julikana kwa biashara fulanOooh nafanya biashara zaidi ya miaka 15 naweza share experience yangu kwenye biashara
Sent using Cash Money Wings
Choose the right people ambao ujaona hao ukishare nao hawata kuangusha alafu chagua watu smart pia ni moja ya njia ya mafanikioOooh nafanya biashara zaidi ya miaka 15 naweza share experience yangu kwenye biashara
Sent using Cash Money Wings
Hata mimi.Siwezi soma kitu anaandika lofa ohh how to succeed in life sisomiSiku bakhesa na wenzake matajiri wakiandika, ndio nita print na kusoma mpaka mwisho.
Nawe usingekuwa lofa ungesoma ila kwa kuwa ni kizibo bax imekula kwak
Siku bakhesa na wenzake matajiri wakiandika, ndio nita print na kusoma mpaka mwisho.
Ili ufanikiwe maishani usitegemee kutoka kwa njia halali..
Ili ufanikiwe maishani usitegemee kutoka kwa njia halali..
kiaje boss
summarize tupate point moja mkuuHellow wana JF leo naomba tushare vitu vichache ambavyo vitaniwezesha mimi na wewe pia hata ndugu zako jinsi ya kufanikiwa katika maisha nitaenda kukuonesha siri saba za mafanikio na pia kama wewe utakuwa na za kuongezea utaongezea kwa manufaa ya wote.
Nayo ni kama ifuatavyo:
1. Always keep learning
- It doesn't matter how smart you are or how knowledgeable you are in a certain area, you can always learn more.
- To assume you already know enough is to stagnate, and stagnation does not bring success.
2. Giving up is the greatest failure.
3. Look for opportunities.
4. Never make enemies.
5. Hire people with superior skills.
- Hire great people and they will make you company great.
6. Forget about money, First.
- If you go into business only focused on making yourself rich or famous chances are that at some point your personal goals and your business's goals will be at odds and if you pursue your own interest you destroy the business, ending up with nothing.
7. Lead with vision
- Vision is the ability to see the invisible
- To successful in life, you must be able to see what most other people can't.
Like famous billionaire. Jack ma say's, "If you have different Mindset, you will have different Outcomes ".
Kama utakuwa na cha kuongezea au hoja kuhusu haya unaweza kufunguka. Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na malengo ya pale unapo taka kufikia ukiwa na best people ambao hawata kutupa na usikubal kushindwa pia angalia wapi watu wameshindwa wew ndio uanzie ila kumbuka kukata tamaa ndio mwanzo wa kufeli
Hivi unafikir matajili wanapata utajili kama kuamka na kupata dhahabu never ni kuwa na mikakati pamoja na malengohebu niwaambie jambo maana mwenyewe ni tajir ila sijuag utajir unamaana gan? kama utajir wa mali upo hv kama ukishindwa kupita shortcurt basi sahau kuwa unachokisema mtoa mada,
Siri ya kufanikiwa inabaki kuwa siri ya mtu husika..
Mwisho wa siku yanayoitwa mafanikio huwa na makandokando mengi.. Hivyo hakuna anayeweza eleza bayana kila hatua.
Sent using Jamii Forums mobile app