Jinsi ya kuepuka mizinga ya wadada

mjamaa kapigwa mizinga sana mpaka kaenda kuchukua kozi ya kui handle
 
Dah...hiyo namba 4 imenichekesha haswa.

Hata hivyo tatizo mwanaume ukimhonga mwanamke atakutangaza haswa kwa wenzie kuwa wewe ni zoba anakuchuna tu.
 

5.Au ukiona katumia simu ya rafiki yake kukupigia au kutuma sms, usiulize kwa nin hukutumia simu yako. La sivyo simulizi za matatizo yake zitaanza
 
Hili ni janga kubwa,unaweza kuwa na nia nzuri na mpenzi lakini kila siku yeye ni mizinga tu hadi upendo unaisha,yeye ataishia kusema wanaume wanasumbua bila kujichunguza yeye kwanza
 

Halafu kaja Na team yake ili akukomoe.Hatareee
 
Hali ngumu watu wameamua kusema ya moyoni. Hatari sana
Kuna kadada ka chuo nilipanda nako bajaji. Kakatoa noti ya elf 10 kumpatia dereva ili akate elf 1, tena baada ya kumsikia dereva huyo akimlalamikia abiria mwingine aliyetoa elf 5 kuwa chenji zinasumbua. Kalipoona dereva anazidi kulalamika, kakaanza kuangalia kwenye kapochi kake huku akiniangalia kwa jicho la "NILIPIE BASI WEWE." Nikampotezea, nikatoa nauli yangu na kumpatia dereva. Kakabahatika kuipata 450, kakawa kanampa huku kamekomaa kunirembulia macho. Mi nikashuka zangu huyoooo kwenda kuweka vocha ya elf 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…