Jinsi ya kudivert simu!

Joined
Jan 21, 2014
Posts
8
Reaction score
1
ndugu zangu naomba m2 anaewez kuunganisha simu ili mtu akimpigia rafiki yangu nami nimsikie kupitia cmu yangu naomba anisaidie coz kuna jamaa nataka niwe nazipata cmu zinazoingia kwake via my phone msaada jaman!
 
Hata mm nina shida hiyo kwa hiyo km kuna anayefahamu tutanufaika wengi.
 
ndugu zangu naomba m2 anaewez kuunganisha simu ili mtu akimpigia rafiki yangu nami nimsikie kupitia cmu yangu naomba anisaidie coz kuna jamaa nataka niwe nazipata cmu zinazoingia kwake via my phone msaada jaman!

Duh hapa sasa mtu amebakia kumiliki bastola tu ili afanye kama wale jamaa wawili waliojitoa mhanga.Kwa mtaki huo mimi ninajua ila kwa vile lengo lako si zuri kwa heri ninapita tu jamani.
 
ndugu zangu naomba m2 anaewez kuunganisha simu ili mtu akimpigia rafiki yangu nami nimsikie kupitia cmu yangu naomba anisaidie coz kuna jamaa nataka niwe nazipata cmu zinazoingia kwake via my phone msaada jaman!

Unajua kuwa hicho unachotaka kufanya ni kinyume na sheria? Unless muwe mmekubaliana simu zenu ziingiliane!
 
mh wivu nikidonda kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!>>>>>>>>><<<<<<<<<iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Dah utakonda kwa staili hiyo mkuu muamini tu mwenzio au piga chini.
 
nunua cm inaenda kwa brand name ZHING PHON. ingia settings, call setting, share conversations,ingiza namba yake, ENTER
hapo sasa endelea kuumia na mawivu hadi upate heart attack.
 
nunua cm inaenda kwa brand name ZHING PHON. ingia settings, call setting, share conversations,ingiza namba yake, ENTER
hapo sasa endelea kuumia na mawivu hadi upate heart attack.

Thank you !! .......... was a bit stressed up. nimecheka vya kutosha!
 
Hahahaaaa. ....kwn mleta uzi una umri wa kumilik mpnz?! I daught kwakel.daah!...cmu yke yy kupigiw apigiwe yy kuckiliz uckilize ww c majanga?!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…