The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Hii hufanywa na makampuni ya simu makao makuu kama ifuatavyo؛mf. Mnyika na nchemba
1.kufunga mawasiliano kwa mlengwa aliyedhamiriwa kupakaziwa kesi(network low au unavailable at all) line ya mnyika.
2.kuifunga line husika(block line)(mnyika)
3.kuchukua line mpya na kuipa access ya number ileile ya mlengwa(swap)
ikiwa na deteils za mnyika
4.kutuma sms(kwa ushahidi) au au kutoa vitisho kwenda kwa mlalamikaji(toka kwenye hii line ya mnyika asiyoijua kwenda kwa nchemba),hii huwa na details za mnyika mf.sms yenye tarehe,siku mwaka na muda,ushahidi tosha mahakamani.
5.kufunga hii line mpya(mnyika feki) iliyotumika baada ya kufanikisha na kuwa na uhakika kwa kilichofanyika,hapa mlengwa haelewi nini kinaendelea
6.kuirudisha line ya mlalamikiwa(mnyika) na kuipa full network(swap).
7.kesi kufunguliwa wakiwa na ushahidi tosha unaokutia hatiani.
Note;si wote wanaokwenda jela ni wahalifu wengine ni michezo michafu kama hii
1.kufunga mawasiliano kwa mlengwa aliyedhamiriwa kupakaziwa kesi(network low au unavailable at all) line ya mnyika.
2.kuifunga line husika(block line)(mnyika)
3.kuchukua line mpya na kuipa access ya number ileile ya mlengwa(swap)
ikiwa na deteils za mnyika
4.kutuma sms(kwa ushahidi) au au kutoa vitisho kwenda kwa mlalamikaji(toka kwenye hii line ya mnyika asiyoijua kwenda kwa nchemba),hii huwa na details za mnyika mf.sms yenye tarehe,siku mwaka na muda,ushahidi tosha mahakamani.
5.kufunga hii line mpya(mnyika feki) iliyotumika baada ya kufanikisha na kuwa na uhakika kwa kilichofanyika,hapa mlengwa haelewi nini kinaendelea
6.kuirudisha line ya mlalamikiwa(mnyika) na kuipa full network(swap).
7.kesi kufunguliwa wakiwa na ushahidi tosha unaokutia hatiani.
Note;si wote wanaokwenda jela ni wahalifu wengine ni michezo michafu kama hii