Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Gaspery lasway Mkuu hii njia ndiyo inatumika sana hata kuibia watu kwa njia ya M Pesa na kuna watu wamelizwa sana town, watu wananunua line anabuni njia au kama anakufahamu anatengeneza line yako anakublock wewe halafu line yake inakuwa active yenye namba zako.
Sasa nadhani kwa suala ulilolieleza shida itakuwa location ya mtu kama ni mahakamani labda huyo mtu itabidi akufuate mahali ulipo kwa siku husika.. mf. hawezi kutumia namba yako yeye akiwa dar na aka act ni wewe ambae uko dodoma. They need to be extra smart.
Sasa nadhani kwa suala ulilolieleza shida itakuwa location ya mtu kama ni mahakamani labda huyo mtu itabidi akufuate mahali ulipo kwa siku husika.. mf. hawezi kutumia namba yako yeye akiwa dar na aka act ni wewe ambae uko dodoma. They need to be extra smart.
Last edited by a moderator: