Jinsi ya "kubounce back" baada ya kupoteza katika biashara

Jinsi ya "kubounce back" baada ya kupoteza katika biashara

Samedi Amba

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2018
Posts
227
Reaction score
178
Habari wanajamvi,
Kichwa tajwa hapo juu. Kwa kifupi:
  1. Niliingia ubia na jamaa
  2. nikatoa hela zangu
  3. akamwomba jamaa mwingine aagize mzigo
  4. mzigo (wa nafaka) ukaja umechanganya rangi. Badala ya tani moja ikaja kilo 490, na kati ya hayo 200 tu ndo ilikuwa nzima. hata hivyo, yalikuwa size ndogo sana kwa wastani ya sokoni.
Niko hapa nasikilizia. Mtaji naona unaelekea kuteketea. Sitaku kujuta, bali kuanza upya.

Kwa wenye uzoefu, nifanyaje? Hasa wale ambao wamewahi kufanya biashara ya nafaka mkoa hadi mkoa.
 
Ukiwa unaanza biashara.

Fanya kila kitu mwenyewe....(kihivyo unajifunza kila kitu ins and outs, ups and downs) usimpe mtu akufanyie biashara au process za biashara ukiwa ndio kwanza unaanza.

Baadae sana watu ndio wana delegate na unakuta wanajua kila kitu.....ngumu kupigwa au kupoteza (kudhulumiwa)

Ifike a point malipo yote ya biashara yako unafanya mwenyewe....mpesa / tigo pesa si zipo ?? Shida nn ??

Jenga mtandao kila sector in ur biz....kuanzia suppliers, buyers, madalali hadi kufikia mlaji wa mwisho....wewe ni kucheza na simu tu na general supervisions.

Mimi nina biashara flani nafanya kuna wakati eneo la biashara inaweza fika kama mwezi hivi na kitu sijafika....lakini miamala yote iko accurate.....ndio wananiibia ila kidogo sana (nishahesabia hyo as part of mishahara yao). Sicheki kabisa na mfanyakazi yani kidogo tu muamala ukipelea nafukuza mfanyakazi siku hyo hyo...na wanajua vibe langu ni kazi tu.

Mwisho usikurupuke na usimuamini mtu.

OVER
 
Ukiwa unaanza biashara.

Fanya kila kitu mwenyewe....(kihivyo unajifunza kila kitu ins and outs, ups and downs) usimpe mtu akufanyie biashara au process za biashara ukiwa ndio kwanza unaanza.

Baadae sana watu ndio wana delegate na unakuta wanajua kila kitu.....ngumu kupigwa au kupoteza (kudhulumiwa)

Ifike a point malipo yote ya biashara yako unafanya mwenyewe....mpesa / tigo pesa si zipo ?? Shida nn ??

Jenga mtandao kila sector in ur biz....kuanzia suppliers, buyers, madalali hadi kufikia mlaji wa mwisho....wewe ni kucheza na simu tu na general supervisions.

Mimi nina biashara flani nafanya kuna wakati eneo la biashara inaweza fika kama mwezi hivi na kitu sijafika....lakini miamala yote iko accurate.....ndio wananiibia ila kidogo sana (nishahesabia hyo as part of mishahara yao). Sicheki kabisa na mfanyakazi yani kidogo tu muamala ukipelea nafukuza mfanyakazi siku hyo hyo...na wanajua vibe langu ni kazi tu.

Mwisho usikurupuke na usimuamini mtu.

OVER
lemi save this .
 
Ukiwa unaanza biashara.

Fanya kila kitu mwenyewe....(kihivyo unajifunza kila kitu ins and outs, ups and downs) usimpe mtu akufanyie biashara au process za biashara ukiwa ndio kwanza unaanza.

Baadae sana watu ndio wana delegate na unakuta wanajua kila kitu.....ngumu kupigwa au kupoteza (kudhulumiwa)

Ifike a point malipo yote ya biashara yako unafanya mwenyewe....mpesa / tigo pesa si zipo ?? Shida nn ??

Jenga mtandao kila sector in ur biz....kuanzia suppliers, buyers, madalali hadi kufikia mlaji wa mwisho....wewe ni kucheza na simu tu na general supervisions.

Mimi nina biashara flani nafanya kuna wakati eneo la biashara inaweza fika kama mwezi hivi na kitu sijafika....lakini miamala yote iko accurate.....ndio wananiibia ila kidogo sana (nishahesabia hyo as part of mishahara yao). Sicheki kabisa na mfanyakazi yani kidogo tu muamala ukipelea nafukuza mfanyakazi siku hyo hyo...na wanajua vibe langu ni kazi tu.

Mwisho usikurupuke na usimuamini mtu.

OVER
Bonge la advice. Asante sana bro. OVER!!!
 
Back
Top Bottom