Kwani wameshaanza kudahili21/22?,na kam kweli,nitajie baadh ya vyuo nami nichekiSamahani ndugu zangu naomba msaada jinsi ninavyoweza kubadili course niliochaguliwa ya civil engineering kuwa computer Engineering hapo chuoni Dit nitakapo
Diploma au digree?Nd
Ndio tiyar wameshaanza mwanangu sema vyuo na course kubwa nafasi zimeisha mwanangu yani apa nimechanganyikiwa kinoma hata sielewi mwanangu
Baada ya kuwa admitted chuoni,nadhani huwa kuna muda wa kuhama course...!Wanao jua zaidi watakushauri katika hili...!Samahani ndugu zangu naomba msaada jinsi ninavyoweza kubadili course niliochaguliwa ya civil engineering kuwa computer Engineering hapo chuoni Dit nitakapo
Baada ya kuwa admitted chuoni,nadhani huwa kuna muda wa kuhama course...!Wanao jua zaidi watakushauri katika hili...!
Baada ya kuwa admitted chuoni,nadhani huwa kuna muda wa kuhama course...!Wanao jua zaidi watakushauri katika hili...!
Ukisha fika chuo utatafta mtu wa computer anaetaka kwenda civil mnabadilishana ila huo uamz utaujutiag badae kwa ninavo ijua ditSamahani ndugu zangu naomba msaada jinsi ninavyoweza kubadili course niliochaguliwa ya civil engineering kuwa computer Engineering hapo chuoni Dit nitakapo
Unataka maelekezo gani kijanaKwa nin bro eeeeeh naomba unielekeze vizur please


,Mkuu hutaki kuwa fundi mchundo?Samahani ndugu zangu naomba msaada jinsi ninavyoweza kubadili course niliochaguliwa ya civil engineering kuwa computer Engineering hapo chuoni Dit nitakapo
Asante sana bro ila mim niko vizur sanar kwa misuli watu tulio soma nao wananijua yapo uwezo wangu sio mkubwa kivile ila ninaforce kinoma yanisipoaNamna ya kuhama ni kumpata anaetaka course yako mbadilishane, tofauti na hapo ni ngumu kubadili,
Ila kama unaenda DIT asee ujipange ukapige msuli kweli kweli, kama ulishawai kusikia msemo wa chuo bata si kwa DIT.
Safari njema, baada ya kusoma na kufanikiwa kumaliza DIT nadhan utakua na cha kuwasimulia madogo wanaotaka kujoin hapo.
Kwa mimi nikae kimya,
Kama upo vizuri kwa misuli DIT patakufaa, na ukienda ukaze kuanzia kuanzia mwanzo wa safari yako,Asante sana bro ila mim niko vizur sanar kwa misuli watu tulio soma nao wananijua yapo uwezo wangu sio mkubwa kivile ila ninaforce kinoma yanisipoa
Cha kuelezea atakipata semester ya kwanza tuNamna ya kuhama ni kumpata anaetaka course yako mbadilishane, tofauti na hapo ni ngumu kubadili,
Ila kama unaenda DIT asee ujipange ukapige msuli kweli kweli, kama ulishawai kusikia msemo wa chuo bata si kwa DIT.
Safari njema, baada ya kusoma na kufanikiwa kumaliza DIT nadhan utakua na cha kuwasimulia madogo wanaotaka kujoin hapo.
Kwa mimi nikae kimya,
Unaweza? Ushaisoma wapi?aaaah fundi mchundo haipo mwoyoni mwangu ila civil naiweza pia sema moyo kwanza
Nimesema anangalia badae usije kujutiaBro unanitisha unavyosema nitakuja kujutia badae sielewi elewi