msaada jamani wale tutumiao internet ya chee kupitia proxies,je inawezekana kuangalia live football kupitia hizo proxies?
unaweza kuangali proxy zipo za aina 2 cgi na glype hizi glype zina support streaming
ip
76.73.16.124
63.141.241.213
Port kama kawaida 80 zitest kwa youtube ili uone kama zina stream then nipe feedback
Hamna inayokubali mwana! Nltafutaga mpaka nkachokaa.. Youtube is as far u can get.