Jinsi ya Kuangalia Kama Gari/Wewe Unadaiwa na Traffic Polisi

Ngwanakilala

JF-Expert Member
Jun 25, 2011
774
1,456
Wakuu nimeona watu wengi wanasimamishwa na matraffic na kuambiwa gari yako inadaiwa lipa sasa kama huna hela acha gari katafute hela. Gari haiondoki hapa hadi ulipe.

Kuna njia ya kucheki kama gari yako inadaiwa au kama leseni yako inadaiwa ilikuondoa these stupid traffic polisi suprises.

Kwa wanaotumia Tigo fuata steps zifuatazo.

*152*75#

chagua kuweka namba ya gari au namba ya leseni
weka hiyo namba
utaambiwa kama unadaiwa au haudaiwi

Muhimu
Ukisimamishwa na traffic usikimbia hata siku moja
simama ongea nae vizuri, muite majina yakumpa kichwa kama boss au afande
akileta ubishi mpe 5,000 akale
ondoka kwa amani
kukimbia askari ni kosa kubwa sana na hata wakikupiga risasi its justfiable
no need kuwakimbia hawa mafala matraffic. simama ongea nao
 
Nadhani wapo humu watakuwa wamepata ujumbe bayana mkuu.

Shukran.
 
Wakuu nimeona watu wengi wanasimamishwa na matraffic na kuambiwa gari yako inadaiwa lipa sasa kama huna hela acha gari katafute hela. Gari haiondoki hapa hadi ulipe.

Kuna njia ya kucheki kama gari yako inadaiwa au kama leseni yako inadaiwa ilikuondoa these stupid traffic polisi suprises.

Kwa wanaotumia Tigo fuata steps zifuatazo.

*152*75#

chagua kuweka namba ya gari au namba ya leseni
weka hiyo namba
utaambiwa kama unadaiwa au haudaiwi

Muhimu
Ukisimamishwa na traffic usikimbia hata siku moja
simama ongea nae vizuri, muite majina yakumpa kichwa kama boss au afande
akileta ubishi mpe 5,000 akale
ondoka kwa amani
kukimbia askari ni kosa kubwa sana na hata wakikupiga risasi its justfiable
no need kuwakimbia hawa mafala matraffic. simama ongea nao
Hahah, eti mafala ... dah

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri mleta taarifa ana walakini.Ungekuwa unaheshimu sheria za nchi usingeweza waita hao askari mafala.Heshimu sheria nami nisijekuita msh..zi.Huns haja ya kulipishwa faini kama ww ni mstaarabu.Traffic kama mko humu oneni maneno ya jamii mnayoihudumia.Kuweni sambamba na Rais kunyoosha watumiaji wa barabara wenye upuuzi kama wa huyu mdau wenu.
 
Wakuu nimeona watu wengi wanasimamishwa na matraffic na kuambiwa gari yako inadaiwa lipa sasa kama huna hela acha gari katafute hela. Gari haiondoki hapa hadi ulipe.

Kuna njia ya kucheki kama gari yako inadaiwa au kama leseni yako inadaiwa ilikuondoa these stupid traffic polisi suprises.

Kwa wanaotumia Tigo fuata steps zifuatazo.

*152*75#

chagua kuweka namba ya gari au namba ya leseni
weka hiyo namba
utaambiwa kama unadaiwa au haudaiwi

Muhimu
Ukisimamishwa na traffic usikimbia hata siku moja
simama ongea nae vizuri, muite majina yakumpa kichwa kama boss au afande
akileta ubishi mpe 5,000 akale
ondoka kwa amani
kukimbia askari ni kosa kubwa sana na hata wakikupiga risasi its justfiable
no need kuwakimbia hawa mafala matraffic. simama ongea nao
Yule shemeji yako trafick aliekulea kwa pesa za rushwa nae ni fala
 
Sio majina ya kuwapa kichwaa ni majina yao wewe civilan yeye soldier lazima umuite Afande ni Afisa ni boss wako.
 
Mkuu ulianza vizuri ila umetia kipande kidogo sana cha kinyesi cha binadamu kwenye juisi tamu vipi utainywa??
Swali langu vipi kwa wenye namba za voda, airtel zantel na halotel process zipo vipi?
 
Nafikiri mleta taarifa ana walakini.Ungekuwa unaheshimu sheria za nchi usingeweza waita hao askari mafala.Heshimu sheria nami nisijekuita msh..zi.Huns haja ya kulipishwa faini kama ww ni mstaarabu.Traffic kama mko humu oneni maneno ya jamii mnayoihudumia.Kuweni sambamba na Rais kunyoosha watumiaji wa barabara wenye upuuzi kama wa huyu mdau wenu.

Kwani ni uongo?
 
ACHA Ujinga wewe kwanini unawatukana sasa?
Hivi matusi ni nini?? kwani mtu akisema neno ambalo wewe unahisi hulipendi ukampuuza msemaji siunakuwa na raha kuliko msemaji hakuna TUSI kilaneno ni jema tu bali mtazamo wako ndio shida
 
We jamaa acha izo kama unavunja sheria wakuchekee sio poa kabisa kuwaita ivyo
 
Back
Top Bottom