Ni tecno-y3hapo ndiyo imeshawaka.... Haiwaki mpaka mwisho.... Nifanyeje wadau
Niliwai kutembelea makala moja about rooting..bahati mbaya makala ilijaa maneno magumu ya kiingereza. Na kama unavyojua English hata Magufuli hawez...nilishindwa kuelewa.
Sasa leoo nimeinyaka. Ntafanya iko kitu rooting!! Mkiona sionekani humu ujue imezima.
Nani aliye sema HVO, au umekulupuka tuhh mkuuSimu ya Android haiwezi kuflashiwa bila kuwa rooted!
Napinga kuhusu hiyo sentesi hapo juu. simu yoyote inaweza kuflashiwa kama ipo rooted ama haipo rooted.
soma maelekezo yako hapo juuNani aliye sema HVO, au umekulupuka tuhh mkuu
acha povu soma maelezo yako. anyway tunajifunzaNani aliye sema HVO, au umekulupuka tuhh mkuu
Bootloader ume unlock?Wakuu hbr?
Mi kusema kweli nimejitahidi lkn ki Techno changu wx3 kimegoma kuwa rooted!
Nifanyeje?
J8 umejaribu kingroot mkuu?Wakuu msaada nahitaji kuroot simu yangu tecno j8
Kingroot 4.5 apk inaroot kama inakichaa ndani ya dakika 2Wakuu msaada nahitaji kuroot simu yangu tecno j8
Jinsi Ya Ku Root Tecno Y3+ Kwa Kutumia Computer | WaiTech IT SolutionsMkuu nahitaji kuroot tecno Y3+