Simu nyingi siku hizi unaroot kwa kutumia magisk una patch stock boot image ya simu husika ukisha unaflash kwa kutumia flashtool ya simu husika au cmdWakuu wataalamu mlobobea mambo ya simu, naomba kufahamu namba ya kuroot simu natumia REDMI A2+ nimejaribu kutumia root master ila imeshindikana.
Poa nijaribu, faida na hasara za kuroot mkuu plsSimu nyingi siku hizi unaroot kwa kutumia magisk una patch stock boot image ya simu husika ukisha unaflash kwa kutumia flashtool ya simu husika au cmd
How to Root Xiaomi Mi A2/A2 Lite using Magisk (Without TWRP)
How to Root Xiaomi Mi A2/A2 Lite using Magisk (Without TWRP)
Guide to root Xiaomi Mi A2 and Mi A2 Lite using Magisk patched boot image, without installing TWRP. Compatible with Android 10, Pie, and Oreo.www.thecustomdroid.com
Wabongo wabinafsi mkuu, kwa hili hutotoboa ukiwategemea kwa hiloWakuu wataalamu mlobobea mambo ya simu,
Naomba kufahamu namba ya kuroot simu natumia REDMI A2+
Nimejaribu kutumia root master ila imeshindikana.
Unataka kuroot bila kujua unafanya nini baada ya kuroot, so hujui faida na hasara za kuroot, huyo jamaa njia alokupa hapo juu sio nzuri ikiwa mambo yataenda ndivyo sivyo, we pambana utumie TWRP by any means, na kabla hujafanya mengi hakikisha una recovery ROM, ili ukii soft brick uweze kuichomoa bila kwenda kwa fundi.Poa nijaribu, faida na hasara za kuroot mkuu pls
Sio simu zote unweza kuroot kwa TWRP, muelekeze basi yeye anahitaji msaada.Unataka kuroot bila kujua unafanya nini baada ya kuroot, so hujui faida na hasara za kuroot, huyo jamaa njia alokupa hapo juu sio nzuri ikiwa mambo yataenda ndivyo sivyo, we pambana utumie TWRP by any means, na kabla hujafanya mengi hakikisha una recovery ROM, ili ukii soft brick uweze kuichomoa bila kwenda kwa fundi.
Ila ukiwa makini huwezi kosea, sema kwenye TWRP hakikisha unapata inayoendana na simu yako kabisa.
Ndo maana nimemwambia aunlock Bootloader baada ya hapo kazi ni ndogo.Sio simu zote unweza kuroot kwa TWRP, muelekeze basi yeye anahitaji msaada.
Mkuu ndo maana naweka hadharan nisaidiwe sio wote tunakuwa wataalamu., Na kuuliza sio ujinga.Unataka kuroot bila kujua unafanya nini baada ya kuroot, so hujui faida na hasara za kuroot, huyo jamaa njia alokupa hapo juu sio nzuri ikiwa mambo yataenda ndivyo sivyo, we pambana utumie TWRP by any means, na kabla hujafanya mengi hakikisha una recovery ROM, ili ukii soft brick uweze kuichomoa bila kwenda kwa fundi.
Ila ukiwa makini huwezi kosea, sema kwenye TWRP hakikisha unapata inayoendana na simu yako kabisa.
Umeshawahi kuroot simu yoyote au ndio mara yako ya kwanza, tuanzie hapo ili tujue tutakusaidiaje.Mkuu natumia REDMI A 2+
Okay! Kwanza tunatakiwa tu unlock bootloader, ngoja tuangalie njia ipi itakua simple, maana wengi hito umewasumbua kidogo, kia na subira wataalam watakujaCjawahi
Hapana kuna kituUtauwa simu nilishafanya root nikaitumia kama wiki mbili ikazima moja kwa moja
Simu yake ilikua na shida tu mkuu, baada ya kuroot ndonuwe tu makini na unachoweka.Kitu gani mkuu