Signup for Microsoft account, Kisha uta access window store na mambo ya facebook, instagram, Snapchat na WhatsApp yanajipa.Msaada jinsi ya ku download WhatsApp kwenye Nokia Lumia 610.
Pia namna ya ku connect internet maana inaunga internet kama itau ganishwa na WiFi ya simu nyingine.
Msaada.
Hii haiwezi kuingia whatsapp na internet umetengeneza Apn? Nenda kwenye setting kisha tafuta neno cellular ama connection ama mobile network na yafananiayo kisha kwenye Apn kama hakuna tengeneza mpya yenye neno internetMsaada jinsi ya ku download WhatsApp kwenye Nokia Lumia 610.
Pia namna ya ku connect internet maana inaunga internet kama itau ganishwa na WiFi ya simu nyingine.
Msaada.
kama bado unatumia nokia lumia sahau whatsaap washaachana na window muda tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
dah sina habari, ubize mwingi kumbe hadi nokia wamewatema mi nilijua huawei pekee.Hii haiwezi kuingia whatsapp na internet umetengeneza Apn? Nenda kwenye setting kisha tafuta neno cellular ama connection ama mobile network na yafananiayo kisha kwenye Apn kama hakuna tengeneza mpya yenye neno internet
Yani watsup haipo tena kwenye lumia ?kama bado unatumia nokia lumia sahau whatsaap washaachana na window muda tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tu whatsaap na hata hiyo lumia yenyewe haipo tena na OS yake ya window mwenzi wa 12 mwaka jana ndio tuliisomea HITIMA yake maana ilikufa miaka miwili iliyopita baada kupumulia mashine kwa muda mrefu