Extrovert24
Senior Member
- Jun 23, 2022
- 152
- 221
- Thread starter
-
- #21
ShukranUwe na kadi inauoruhusu kufanya malipo online Kisha nenda katengeneze page Kisha nenda sehem ya ads Kisha pachika picha au video ya tangazo kicha chagua nchi pia chagua lika la unaotaka uwatangazie kusha weka kiasi kuanzia dollar moja au zaidi alafu uchague unataka click au impression Kisha lipa
Sawa shukranFanya process za mwanzo kisha tuletee screenshot, unless uende youtube kama mkuu alivyoshauri hapo juu.
Sawa Boss kubwa, shukran sana Kwa kunipa alternativesGharama kuanzia dola moja. Na mkopo wa kutangaza, ywani postpaid upo. Hakuna mtandao mzuri kutangazw biasharq kw facebook
unatumia laptop au smartphone?Sawa shukran
Sawa Boss kubwa, shukran sana Kwa kunipa alternatives
simu inakuwa very limited baadhi ya featureSawa shukran
Sawa Boss kubwa, shukran sana Kwa kunipa alternatives
huhutaji kufungua online banking accountKwani namna ya kufungua account ya online banking ni aje?
ATM yenyewe makato yanakuwaje?huhutaji kufungua online banking account
unachotakuwa kuwa nacho ni kadi ya bank tu
au hata airtel wanahuduma ya mastercard
Tofauti ni makato ya airtel yanakuwa makubwa compared na ukitumia atm card yako
kila malipo utakayofanya ya ads wanakata 2423 kwa dollar pamoja na 1,000 kama fee
ATM hawana fee ila kwa kila dollar inategemea na exchange rate ( unaongeza 100 kwa dollar)ATM yenyewe makato yanakuwaje?
Aaaa shukran nimekuelewa vemaATM hawana fee ila kwa kila dollar inategemea na exchange rate ( unaongeza 100 kwa dollar)