makandomende
Member
- Sep 2, 2013
- 82
- 43
Wadau
Tafadhali sana naomba tusaidiane. Kazi za PPF zinatakiwa kujazwa ONLINE, lakini ni lazima ujisajili kwenye system kama vile TRA, sasa tatizo ni kwenye kuonisha maneno (MATCHING THE WORDS) kooooote nimejaza nilipofika kwenye kuoanisha maneno kila nikiandika kama walivyoandika napewa jibu kuwa MANENO HAYAJAOANA (WORDS DID NOT MATCH) ilhali maneno yenyewe ni ya kawaida kabisa kama vile "changu, chomoa, salehe n.k"
SASA
NAOMBA NISAIDIWE KAMA KUNA NJIA NYINGINE WADAU
NAWASILISHA
Tafadhali sana naomba tusaidiane. Kazi za PPF zinatakiwa kujazwa ONLINE, lakini ni lazima ujisajili kwenye system kama vile TRA, sasa tatizo ni kwenye kuonisha maneno (MATCHING THE WORDS) kooooote nimejaza nilipofika kwenye kuoanisha maneno kila nikiandika kama walivyoandika napewa jibu kuwa MANENO HAYAJAOANA (WORDS DID NOT MATCH) ilhali maneno yenyewe ni ya kawaida kabisa kama vile "changu, chomoa, salehe n.k"
SASA
NAOMBA NISAIDIWE KAMA KUNA NJIA NYINGINE WADAU
NAWASILISHA