Mkuu viongozi wetu ni wazalendo kwa chama Chao na matumbo yao taifa baadaye.Kila mtu anaogopa lawama. Kwasabb atayekubali kuunda katiba mpya ndiye atakuwa amefanya mauwaji na mazishi ya ccm.
Tunakumbushana kuwa katiba itaandikwa na wanasheria wabobevu wa sisiem unadhan wataandika kinyume na maslah yao???Kila mtu anaogopa lawama. Kwasababu atayekubali kuunda katiba mpya ndiye atakuwa amefanya mauwaji na mazishi ya CCM.