JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 626
- 938
Rushwa katika Vyama vya Siasa ni tatizo katika Nchi nyingi Duniani na inaathiri Demokrasia kwa kudhoofisha Uwajibikaji, Usawa, na Uaminifu katika Mifumo ya Kisiasa
Katika baadhi ya maeneo, Watu wanaweza kununua au kuuza kura kama njia ya kufanikisha malengo yao Kisiasa