badshah Member Joined Mar 16, 2013 Posts 51 Reaction score 33 Jul 7, 2013 #1 Khaa!!! yaani umefungua ili ujue jinsi simba anavyokukula... cha msingi we potezea ukijua hutotamani hata kwenda katika hifadhi ya wanyama.
Khaa!!! yaani umefungua ili ujue jinsi simba anavyokukula... cha msingi we potezea ukijua hutotamani hata kwenda katika hifadhi ya wanyama.
S salum mabura Member Joined Jun 16, 2013 Posts 67 Reaction score 5 Jul 8, 2013 #2 Kwahiyo simba anakula watu tofauti na anavyokula swala? Binaadamu anampika kwanza au ana mroast kwa pilipili na chumvi?
Kwahiyo simba anakula watu tofauti na anavyokula swala? Binaadamu anampika kwanza au ana mroast kwa pilipili na chumvi?
mbuyake JF-Expert Member Joined Feb 20, 2013 Posts 347 Reaction score 630 Jul 8, 2013 #3 tuonyeshe unavyoliwa na simba
badshah Member Joined Mar 16, 2013 Posts 51 Reaction score 33 Jul 8, 2013 Thread starter #4 mbuyake said: tuonyeshe unavyoliwa na simba Click to expand... sio mimi wote hata wewe....