Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Shetani hashindwi kwa "maneno" matupu bali Wanadamu humshinda Shetani kwa "kumtii" MUNGU na kumwamini YESU KRISTO. Soma Yakobo 4:7-8Mkuu asante kwa ushuhuda, maana naamini tunamshinda sheteni kwa shuhuda za maneno yetu.pia naamini kwa ujumbe huu kuna mtu atatoka alipo kwama.
Sifa na utukufu, uweza na nguvu vyote vina yeye alie kupa mke mwema, usiache kutoa sadaka ya shukurani kwa ajili ya mkeo.
Amen