Jinsi nilivyookoa ndoa ya watu

nilishasema kwamba katika mahusiano yangu na mwanamke yeyote sitakaa nimshirikishe mtu wa tatu hata kiwe nini, kama tulikutana wawili tukatamaniana wawili tukatongozana na kukubaliana bila mtu wa tatu basi ni jambo gani litaloshindikana baina yetu?! tukishindwa kabisa kuyajenga mimi na yeye basi mtu wa tatu utakuwa ni unafki tu. mleta mada haukutakiwa kupeleka habari za ndani za jirani yako kwenye mitandao ya kijamii! kuna jamaa yangu alienda na mkewe mtarajiwa kutubu kabla ya kufunga ndoa, alipotoka kwenye kale kachumba akawa anacheka huku anatingisha kichwa, jamaa kamuuliza "vipi?"..dada wa watu kasema alivomaliza kutubu eti faza kaanza kuchombeza "leo umepeneza", kwenye mahusiano usimwamini nyang'au yeyote wa tatu.
 

Yaani siamini kama umeamua kunisema jf !
Mimi nlikupa hela ili unitunzie siri halafu umekuja kuharibu!
 
Unajua elimu ingekuwa inafungiwa chumbani tusingeipata, Hapa JF nimeleta kama ushuda wa kujifunza na wala siyo umbeya kama unavyodhani. Kumbuka kuwa sijamtaja mtu yoyote kwa jina, unadhani tutajifunzia wapi kama siyo kupata experince za wengine? unavyojua maisha ya ndoa hayana formula hivyo tunajifunza kupitia uzoefu wa mwingine. Kwa hiyo ndugu yangu na declare kwamba sikuwa na nia ya kumsema mtu vibaya bali watu wajifunze kupitia kwake. Kwani unapoambiwa kwamba JF inaelimisha ulidhani kuna mwalimu anakuja huku na chaki au projector kutoa lecture? but anyway hayo ni mawazo yako.

 
hongera pia kwa kutumia busara na hekima kuwapatanisha
ubarikiwe kwa hlo
Biblia imeandika heri wapatanishi kwa kuwa wataitwa wana wa Mungu...
Unajua kwenye usuluishi wa ndoa usijaribu hata siku moja kuwaachanisha, ukiona hauwezi achia ngazi mapema kwani walivyokutana haukuwepo wakielewana utaiweka wapi sura yako? hapa unatumia hekima tu ya kawaida.

 
Binadamu wako tofauti sana, na ndiyo maana kuna sheria mbalimbali za kuadabisha tabia zisizofaa ndani ya jamii.

 
ha ha ha ha stori tamu sana sasa mzee ungekatupia basi hata kapicha ka hiyo ndoo ilivyotoboka
kutumia tena kapicha mkuu nitawadhalilisha na mimi sitajisikia amani rohoni, ila kikubwa hapa ni elimu ya ndoa kupitia uzoefu wao. Nadhani kuna kitu tutajifunza hapa.

 
Yaani siamini kama umeamua kunisema jf !
Mimi nlikupa hela ili unitunzie siri halafu umekuja kuharibu!
Matukio yanaweza kufanana, lakini hata hivyo jamaa nimeshamwambia aangalie kile kisa chake hapa JF, kafurahi kaniambia watu wengi watajifunza kwani yeye ni shetani tu alimpitia hivyo hatarajii kurudia kitu kama hicho maishani mwake.

 
yaaa hili domo zege...hakuna cha timing miezi 3 anachungulia tuuu.it seems h/gal ana kijungu.
siyo kijungu tu bali hata chuchu zimesimama sana....ana miaka kama 18 au 19 hivi, sasa sikumuuliza jamaa interest yake ilikuwa nini kwani ni mambo ya aibu kuyachambua zaidi. Ila nilimwambia mama mwenye nyumba asimfukuze huyo house girl kwani hata hajui kilichokuwa kinaendelea huko nje. Siunajua tena wamama wakishaona hivyo wanamtimua house girl

 
yaa inawezekana kwani wanawake wengi hawafuti makosa moyoni moja kwa moja...hivyo ni kazi ya jamaa kuchukua hatua mpya za kinidhamu

 
mmmmh ndoa zingine jamani, ila kwa jinsi mimi nilivyo hiyo kesi isingeisha kirahisi hivyo mshukuru huyo mwanamke ni mwepesi wa kuachilia
Maisha ya kusameheana kwa makosa mbalimbali ndiyo maisha ya afya dada yangu Mrsleo, usikubali kukaa na kitu rohoni...

 
Hapana huyo mama hayupo huku JF lakini mumewe yupo na nimeshamwambia. Nia ya hii kama nilivyosema ni kutoa elimu kupitia experience za watu wengine, ndiyo maana MMU lipo

 
ha ha ha ha haa jamani duh mumeo mzee wa chabo uwiii..... kunywa wine tu aisee... mkuu house girl ni chombo?
Housegirl ni kama wananwake wengine tu, Tafsiri ya yeye kuwa chombo sijui nitaliwekaje hapa, ila ana makalio kiasi na chuchu saa sita umri ni kati 18 au 19 hivi. Ninachojua kidogo kuhusu tabia yake ni kwamba anaheshima sana mpaka nadhani kapitiliza.
 
Housegirl ni kama wananwake wengine tu, Tafsiri ya yeye kuwa chombo sijui nitaliwekaje hapa, ila ana makalio kiasi na chuchu saa sita umri ni kati 18 au 19 hivi. Ninachojua kidogo kuhusu tabia yake ni kwamba anaheshima sana mpaka nadhani kapitiliza.

nawe ushaanza kumtamani huyo hgl
 
Housegirl ni kama wananwake wengine tu, Tafsiri ya yeye kuwa chombo sijui nitaliwekaje hapa, ila ana makalio kiasi na chuchu saa sita umri ni kati 18 au 19 hivi. Ninachojua kidogo kuhusu tabia yake ni kwamba anaheshima sana mpaka nadhani kapitiliza.

nikisema ni chombo na maanisha ni mzuri mkuu ..... hapo hata kama ni mimi ningepiga chabo
 
Hahaha dah nimecheka hapo kwenye ndoo.ila ndoa hizi jamani.!! ningekuwa ni mimi ningemtia bakora huyo mume augulie vizuri.
Ila Hongera kwa kusovu tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…