Jinsi mapenzi yanavyonichanganya

Jinsi mapenzi yanavyonichanganya

waukweee

Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
20
Reaction score
0
Nina mchumba wangu ambaye tuna uhusiano wa miaka 2 na tupo mbioni kufunga ndoa,tatizo kubwa alilonalo mchumba wangu huyu ni amri yani ana amri hata Rais haoni ndani...yani cna raha na mapenzi kwakweli nafikiria kumwacha lakini namuonea huruma kwa sababu atalia sana na mbaya zaidi familia yake wananijua mi ni mchumba wake..pia kashanigharamikia vya kutosha yani lakini hizi amri anazonipa ndo cziwez na hajakaa kiromantic hata.

Nishaurini ndugu zangu nifanyeje?
 
Usiue, Usiibe, Usizini, Usishuhudie mwenzako uwongo, waheshimu wazazi wako etc. Amri kama izo sio!

Nina mchumba wangu ambaye tuna uhusiano wa miaka 2 na tupo mbioni kufunga ndoa,tatizo kubwa alilonalo mchumba wangu huyu ni amri yani ana amri hata Rais haoni ndani...yani cna raha na mapenzi kwakweli nafikiria kumwacha lakini namuonea huruma kwa sababu atalia sana na mbaya zaidi familia yake wananijua mi ni mchumba wake..pia kashanigharamikia vya kutosha yani lakini hizi amri anazonipa ndo cziwez na hajakaa kiromantic hata.

Nishaurini ndugu zangu nifanyeje?
 
Usiue, Usiibe, Usizini, Usishuhudie mwenzako uwongo, waheshimu wazazi wako etc. Amri kama izo sio!

Siyo amri hizo.....amri za fanya hiki na hataki mjadala...na ucpofanya ni kununa tu..
 
Relationship ni mawasiliano na uwazi..isije kuwa unalalamika hapa halafu haujawahi kumweleza huyu mchumba wetu!
 
mapenzi ya kuamrishana kama mtoto mdogo huwa hayanogi kabisa mapenzi makubaliano na kusikiliiana kama unaona huwezi kuishi kwa kuamrishwa ni bora muachane mapema kabla hamjafunga ndoa coz hutaenjoy all in all sikiliza moyo wako wewe unataka nini.
 
Hakuna mkamilifu,kwani hizo amri kazianza baada ya wewe kumshiba? kwani alokua romantic anakuwaje? wewe pia sio romantic sababu ungekua miaka 2 inatosha sana kumbadilisha mtu hasa mpenzi wako,umeshamlia vyake sasa umeshaanza kumtia ila,haya nenda kwa mwengine usimuone huruma tena pengine ukimuacha wewe atatia siha, usijali famila yake kukujua wanachana waloowana seuze wewe unaepewa,wengine wataona bora hivyo ulivyosema basi....
 
^^
Nenda tu umwache,kama kulia atalia yataisha..
Amekugharamia umejiona mzuriii, umependeza eti ee!
..
Nenda mwaya.. Katafute hubby wa kukubembeleza muda wote, wa kukuchekea 24hrs!
Nenda mwaya! Baada ya kumvuna nenda kasherekee! Wala usimtafutie sababu..
..
Haa! Yaan uwe na mtu asiye romantic?
Romantic inaleta pesa
Romantic inajenga
Romantic ni mume mwema!
Romantic inaleta kazi
..
Nenda na kila la kheri
Pita mlango huooo wala usigeuke nyuma
^^
 
Hapo uliposema amekugharamia sana ndo tatizo. Na umemuonesha hadi kwa mama yako!! Muache uone kama utapona na mama ako maana watu wanateketeza familia nzima.
 
Mapenzi ya kilaghai ndivyo yalivyo, miaka miwili uchumba, leo eti ana amri, sio romantic. Umevurugwa dada na tayari una msaliti ww, lol !!
 
Nina mchumba wangu ambaye tuna uhusiano wa miaka 2 na tupo mbioni kufunga ndoa,tatizo kubwa alilonalo mchumba wangu huyu ni amri yani ana amri hata Rais haoni ndani...yani cna raha na mapenzi kwakweli nafikiria kumwacha lakini namuonea huruma kwa sababu atalia sana na mbaya zaidi familia yake wananijua mi ni mchumba wake..pia kashanigharamikia vya kutosha yani lakini hizi amri anazonipa ndo cziwez na hajakaa kiromantic hata.

Nishaurini ndugu zangu nifanyeje?


Hilo ni moja ya mambo ya kuchunguzana katika kipindi cha uchumba. Umegundua tabia hiyo ni kero kwako, huna raha wala amani fikiria ukiwa mke itakuwaje. Achia ngazi mapemaaaaa wala usisite elewa ukiingia ndani yatajitokeza mengine yaliyojificha Usiogope jitie ujasiri kama mbwai na uwe mbwai kwa nini ukubali kuishi kwa shida maisha yako yote hadi unaingia kaburini??? Jitoe taratibu wewe si wa kwanza kutafuta ndoa yenye amani.
 
ndio we, jitu liko serious kama mwanajeshi anapiga gwaride bana, mapenzi gani hayo! wakati wote kama yuko kazini, ofisini na nyumbani hakuna tofauti, hata wanajeshi wenyewe usiriaz kazini wakifika nyumbani wako poa sana. hee..! au mkurya nini!
 
Relationship ni mawasiliano na uwazi..isije kuwa unalalamika hapa halafu haujawahi kumweleza huyu mchumba wetu!


kuna wengine hawaambiliki ndg, pengine hata jinc ya kumuanza kumueleza yalo moyoni hawezi
 
Nina mchumba wangu ambaye tuna uhusiano wa miaka 2 na tupo mbioni kufunga ndoa,tatizo kubwa alilonalo mchumba wangu huyu ni amri yani ana amri hata Rais haoni ndani...yani cna raha na mapenzi kwakweli nafikiria kumwacha lakini namuonea huruma kwa sababu atalia sana na mbaya zaidi familia yake wananijua mi ni mchumba wake..pia kashanigharamikia vya kutosha yani lakini hizi amri anazonipa ndo cziwez na hajakaa kiromantic hata.

Nishaurini ndugu zangu nifanyeje?

Join Date : 25th November 2013
Posts : 3
Rep Power : 0
Likes Receive 0

Likes Given 0


Vipi wakati mnaanza hamkuulizana umri?
 
Hilo ni moja ya mambo ya kuchunguzana katika kipindi cha uchumba. Umegundua tabia hiyo ni kero kwako, huna raha wala amani fikiria ukiwa mke itakuwaje. Achia ngazi mapemaaaaa wala usisite elewa ukiingia ndani yatajitokeza mengine yaliyojificha Usiogope jitie ujasiri kama mbwai na uwe mbwai kwa nini ukubali kuishi kwa shida maisha yako yote hadi unaingia kaburini??? Jitoe taratibu wewe si wa kwanza kutafuta ndoa yenye amani.

Asante kwa ushauri wako mzuri wacha nitafute amani ya moyo tu....
 
Relationship ni mawasiliano na uwazi..isije kuwa unalalamika hapa halafu haujawahi kumweleza huyu mchumba wetu!

Nishamwambia ila haelew chochote nataman abadilike ila habadiliki.....
 
ndio we, jitu liko serious kama mwanajeshi anapiga gwaride bana, mapenzi gani hayo! wakati wote kama yuko kazini, ofisini na nyumbani hakuna tofauti, hata wanajeshi wenyewe usiriaz kazini wakifika nyumbani wako poa sana. hee..! au mkurya nini!

Wala co mkurya ni mhaya yani nikitaka kwenda kuonana naeni ka naenda kifungoni.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom