jinsi makampuni makubwa ya tech yanavokuona

Chief-Mkwawa

Platinum Member
May 25, 2011
30,711
39,791
1757-gif.jpg
 
Tuanze
facebook
Ye anachowaza ni kutuekea sisi matangazo tu ndo mana katuvalisha mabango for sale for sale

twitter
Yeye anatufanya sisi vichekesho kwa kutufanya tunafata fata watu wengine hata hatuwajui

microsoft
Never care mteja kwake **** anatufanya kama punching bag kwasababu anao wengi karibia asilimia 90 ya watumiaji pc

google
Matrix inamaanisha experiment yeye google anachukua information zetu na kuwapa wenye matangazo sisi kwake ni kama unavoona kwenye pic

apple
Ye kwake mteja hela anachowaza toka kwako ni hela zako tu ndo mana anauza overpriced

blackberry
Yeye mteja kwake ni hero picha ya knight inamaanisha ni saviour ukienda nunua simu ni kama umewasave wasifilisike
 
tuanze
facebook
ye anachowaza ni kutuekea sisi matangazo tu ndo mana katuvalisha mabango for sale for sale

twitter
yeye anatufanya sisi vichekesho kwa kutufanya tunafata fata watu wengine hata hatuwajui

microsoft
never care mteja kwake **** anatufanya kama punching bag kwasababu anao wengi karibia asilimia 90 ya watumiaji pc

google
matrix inamaanisha experiment yeye google anachukua information zetu na kuwapa wenye matangazo sisi kwake ni kama unavoona kwenye pic

apple
ye kwake mteja hela anachowaza toka kwako ni hela zako tu ndo mana anauza overpriced

blackberry
yeye mteja kwake ni hero picha ya knight inamaanisha ni saviour ukienda nunua simu ni kama umewasave wasifilisike

duuuh kweli hii nomaa
 
Tuanze
facebook
Ye anachowaza ni kutuekea sisi matangazo tu ndo mana katuvalisha mabango for sale for sale

twitter
Yeye anatufanya sisi vichekesho kwa kutufanya tunafata fata watu wengine hata hatuwajui

microsoft
Never care mteja kwake **** anatufanya kama punching bag kwasababu anao wengi karibia asilimia 90 ya watumiaji pc

google
Matrix inamaanisha experiment yeye google anachukua information zetu na kuwapa wenye matangazo sisi kwake ni kama unavoona kwenye pic

apple
Ye kwake mteja hela anachowaza toka kwako ni hela zako tu ndo mana anauza overpriced

blackberry
Yeye mteja kwake ni hero picha ya knight inamaanisha ni saviour ukienda nunua simu ni kama umewasave wasifilisike
dahhhhhhhhhhhhhhhh ni noma
 
Back
Top Bottom