Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Usije ukaonja aiseeee maana ni tamu sana!!Nina miaka 13, sijatia kilevi kinywani mwangu. Na sitarajii!
Ndio bado tunampenda pombeKuna watu bado mnapenda pombe?
Mna hangover ila tu hamsemiNdio bado tunampenda pombe
Basi mie zinanikataa japo ukinywa unachangamka fasta.Muonekano wako upo vizuri ila mie nahisi zinanikataaSio kweli mkuu labda tumbo lako tu sioni tofauti ya Pilsner na Kili
Sasa hivi zimeanza kueleweka Mkuu unaagiza zako Pilsner plus nyama lazima heshima iwepo tuHili ni kweli kabisa tena kama ni mgeni mgeni kwenye hiyo bar atakuomba cash kabisa tofauti na atakaye agiza hizo za 2500,, lakini kwa usawa huu taratibu wataelewa tu..
Vikao vya ulevi vitamu balaa utakuta watu wanaongea vitu vya maana balaa hata kama utekelezaji wake ni mdogo au hakuna ila mikakati kwenye vikao vya ulevi ndo penyeweWalevi wakijadili ulevi
Hivi Heinkeni unalewa?Waongeze na alcohol kidogo sio mtu unakunywa bia kumi hata husikiii kitu,zamani ilikuwa ukinywa safari 3 tu lazima,uyumbe na utakunywa nyingi tu,lakini kwa sasahivi utakunywa safari 5 utaishia kukojoa tu bia na glass kujaa mapovu nimeamua kuhamia henken tu japo elfu 3 lakini ya ukweli.
Heinken ina steam bomba sana yani,inakupa ma confidence ya maanaHivi Heinkeni unalewa?
Ila kuna mikoa bado hazifiki aiseee, mfano Taborabia ndogo hamna kabisaaaHeri ya mwaka mpya wanywaji wote wa Bia,
Kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu hivi sasa na hasa ukizingatia ya kuwa serikali imekuwa ikipandisha kodi kila mwaka kwenye Bia.
Sasa TBL na SBL wameona isiwe shida, wameamua kushindana kuzalisha Bia ndogo zenye ulevi uleule kwa Bei nafuu ya 1500 hadi 1800. Hii imetoa ahueni kwa wanywaji angalau sasa ukiwa na 4500 tu unaweza kupata walau 3 ya kulalia.
Kwangu mimi Bia sio starehe tena ni hitaji la msingi kama ilivyo maji na chakula, hivyo, kuniuzia elfu 2500 hadi 3000 ni kuniumiza tu. Tafadhali TRA msipandishe Bia.
Mfano kuna
Kilimanjaro ndogo
Safari ndogo
Serengeti ndogo
Balimi ndogo
Na zingine zingi zitakuja kwa lengo la kuinua walau mauzo ya kampuni hizi.
Karibuni tufurahie ubunifu.
Huyo ndo my baby sijui kama unaweza kunizuia kumpataPombe Kali na sigara huchangia uwezekano wa kupata Kansas ya ini
Sio pombe sema byaKuna watu bado mnapenda pombe?
Reading, Watching movies sports and games , Outreach services, to mention a fewSasa kama hunywi Bia unafanya nini ule muda wa Mapumziko? au unapiga umbea
ndioooo.mi mpenzi sana wa mwendo kasi ile safari ndogoKuna watu bado mnapenda pombe?
Kuna mbinu nyingi za kuvuruga maamuzi sahihi ya mtu. Hii ya kwako ni moja Wapo nimeishaitambua!!Kutokunywa Sometimes Kunakufanya Usiwe na Akili Nzuri... Hata Mke anaweza Akawa Anakuendesha
Nina miaka 13, sijatia kilevi kinywani mwangu. Na sitarajii!