Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 1,924
- 3,247
sauli hiyo connection ya madini inakavaa vipi sasa mzee baba?, ulianza kuingia ndani ya mashimo kama mchimbaji wa kawaida au ulikusanya mtaji ndo ukawa mmiliki wa shimo la madini?Upo sahihi kwa kiasi, na ni kweli nilikuwa ndani kwa kesi Ila nashukuru kila kitu kilienda sawa. Kuhusu pesa, Sina pesa chafu. Ninazo za kawaida tu