kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
ShemejiiiiiJust remember Familia yake ipo Canada, at arudi huko na sivyo unavyotegemea.
Tena safari hii atarudi na mafao ya uzeeni,kama mtumishi wa umma mstaafu.
Zaidi tu nikupashe,mpaka sasa anajiwekea akiba ya kudumu...chochote kitakachompata haitaji hata mchango wa serikali.
Mwisho bado ana jenga historia iliyo tukika,kusimamia anachokiamini.
Mtakufa na vijiba vya roho......yeye atapumzika kwa kusema vita nimevipoga ,mwendo nimeumaliza.