DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Kwani jenny muro ameishia wapi na ile tabia yake ya kutetea tetea ujinga.
Naona unamtetea kwa kuwa umepata kazi ya u house girl nyumbani kwake maana ni shemeji yakoHahahaaa dua la kuku hilo hali mpati mwewe katu
Tunakujua kuwa wewe ndiye house girl wakeJust remember Familia yake ipo Canada, at arudi huko na sivyo unavyotegemea.
Tena safari hii atarudi na mafao ya uzeeni,kama mtumishi wa umma mstaafu.
Zaidi tu nikupashe,mpaka sasa anajiwekea akiba ya kudumu...chochote kitakachompata haitaji hata mchango wa serikali.
Mwisho bado ana jenga historia iliyo tukika,kusimamia anachokiamini.
Mtakufa na vijiba vya roho......yeye atapumzika kwa kusema vita nimevipoga ,mwendo nimeumaliza.
kusifia kila kitu kipindi hiki uwe na roho ngumu sanaMwingine RITZ AMBAYE ALIKUWA ANATUKANA MATUSI .KWA YEYOTE ALIYEPINGA POST ZAKE.PIA ZOMBA,MAFILILI
Tatizo alikataa kukatwa mkia ili aingie ziziniKaka Fred alikata tamaa baada ya kuona vijana wadogo wanapewa ujue wa mikoa wakati yeye yuko bench
Hili nalo neno!!!Miguna Miguna wa bongo
Wacha akili za kipimbi weweThe good thing guys you are not God.
Wewe huna sifa ya ushemeji bali ni house girl tuMnaloooo kila mtu shemeji hahaaa fly to KIA
Ushamaliza kufagia hapo lumumba?Nafikiri anaefuatia ni Mbowe , tusubiri tuone, Zitto na Mbowe nani aliwasaliti watanzania
Aisee huyu mtu kawa kimya sana sijui yuko wapi?Kuna mpuuzi mwingine aliejiita LIZABONI, siku hizi sijui nae Yuko wapi
Huyu bibi mdini sana awezi kusifia uongozi wa kafiriMkuu tafadhali mwenye taarifa za Fayza Foxy
Daaaa yule kigagula mdini sana yaani tulikuwa tunagombana vibaya sana hapa jukwaaniHuyu bibi mdini sana awezi kusifia uongozi wa kafiri
Anampenda JPM tatizo lake ni kwa NyerereHuyu bibi mdini sana awezi kusifia uongozi wa kafiri
Yeye na mzee Muhammad yani wanapenda dini acha kabisaDaaaa yule kigagula mdini sana yaani tulikuwa tunagombana vibaya sana hapa jukwaani
Awezi mpenda mkristo atampenda kinafikiAnampenda JPM tatizo lake ni kwa Nyerere