Endelea kujipumbaza. Ila nitakutoa upumbavu wako kwa kujaribu kukueleza kwa kirefu kwa sababu ulikosa hata "F" ya std VII.
Katika uhalisia wa uumbaji, based on natural facts kama vile biological, psychological, physical, na emotional differences, wanawake wamewekwa katika nafasi ya kuwa entertainers wa wanaume zaidi kuliko wealth producers. Hii si kwa sababu ya ubaguzi, bali ni kwa sababu ya tofauti za asili ambazo si rahisi kubadilika.
Mathalan, Kibaiolojia, mwanamke ana miezi tisa ya kubeba mimba na miaka miwili ya kulea mtoto kikamilifu. Ukijumlisha, ni takriban miaka mitatu kwa mtoto mmoja. Sasa, fikiria akiwa na watoto watano, hii inamaanisha anahitaji kuwekeza miaka mingi katika kuzaa na kulea, na hii inazuia uwezo wake wa kujihusisha kikamilifu katika shughuli za kiuchumi.
Kisaikolojia au kihisia, wanawake wengi ni more empathetic, wana huruma hata kwa vitu visivyohurumisha, waoga kupitiliza wanaogopa hadi mende jambo ambalo linaonyesha jinsi asili inavyowaweka katika nafasi ya kukimbia au kuunga mkono , badala ya kushindana katika maisha.
Ukiangalia kwa upande wa physical capabilities, wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu zinazohitaji nguvu nyingi kama wanaume, hivyo kushindwa kuzimudu njia kuu za uchumi ambazo kwa enzi na enzi zimekuwa zikihitaji nguvu na stamina kubwa. Kwa miaka na dahali kumiliki njia za uchumi kulihiutaji vita, mabavu, ubabe nk. Mwanamke angeweza wapi na yeye alikuwa kazi yake kumliwaza kidume akirudi amechoka na kuzaa watoto.
Hii ndio sababu kubwa inayopelekea dunia kutumia nguvu kubwa, juhudi na resources nyingi sana kumuwezesha kufanya kile ambacho asili haikumuandalia kwa urahisi. Ni sawa ukiwa na mtoto mwenye kipaji cha kucheza mpira kama mwanagu jr, hutalazimika kutumia nguvu nyingi sana kwa mafunzo kabla hajafikia level ya juu tofauti na mtoto ambaye hana kipaji cha mpira kama Romeo mtoto wa David bekham.
Na behind the scheme hizi ishu za kumwezesha mwanamke ni sijui maswala ya equality and empowerment yana siri kubwa ambapo atahri zake ndio zinaanza kujitokeza sikuhizi mfano kuongezea kwa maswala ya LGBTQE na hivyo kuharibu kabisa uhalisia wa binadamu.
Kwenda usinichoshe hata sijui kwa nini nimekujibu